19Juni2013

 

Moses Machali

Mbunge atupiana maneno na Mwenyekiti wa Bunge

MBUNGE wa Kasulu, Moses Machali (NCCR Mageuzi) jana alijikuta akitupiana maneno na Mwenyekiti wa Bunge, Jenista Mhagama bada ya kumtaka Naibu Waziri wa Fedha, Janet Mbene awe na nidhamu, kutokana na kitendo chake cha kutoa ishara ya kumdharau kwa mkono.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Joseph Lugendo, Dodoma
  • Imesomwa mara: 801

Ajali ya basi yaua 6, yajeruhi wengi

WATU sita wanadaiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa kwa kukatika viungo vya mwili katika ajali ya basi, iliyotokea katika Kijiji cha Kizilamuyaga, Kata ya Kimwani wilayani Muleba mkoani Kagera.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mwandishi Wetu
  • Imesomwa mara: 383
Innocent Mungy

TCRA yakutana na Star TV, Star Media

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekutana na Uongozi wa Televisheni ya Star na Kampuni ya Star Media kabla ya kutoa uamuzi wake juu ya hatua ya televisheni hiyo, kujiondoa kwenye kisimbuzi cha kampuni hiyo.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Gloria Tesha
  • Imesomwa mara: 204

Serikali kudhibiti uingizwaji wa gesi

SERIKALI imesema itaendelea kuweka nguvu katika kudhibiti uingizwaji wa gesi, zinazoharibu tabaka la Ozoni.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Hellen Mlacky
  • Imesomwa mara: 74

Mahakama ya Rufaa yaita jalada kesi ya Lwakatare, mwenzake

MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam imeita majalada ya kesi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare na mwenzake Ludovick Joseph kwa ajili ya kufanya marejeo ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliowafutia washitakiwa hao mashitaka ya ugaidi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Flora Mwakasala
  • Imesomwa mara: 86
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed

Mbunge ataka Serikali kuwakamua kodi zaidi wananchi

WAKATI wabunge mbalimbali pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti, wakipendekeza baadhi ya kodi kuondolewa, Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed (CCM) ameitaka Serikali iwakamue vilivyo wananchi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Joseph Lugendo, Dodoma
  • Imesomwa mara: 174