19Juni2013

 

Category: Makala

Wakulima wa nyanya hukwama kupata soko zuri kutokana na gharama za usafirishaji.

Kodi ya mafuta yawatisha wengi

INGAWA serikali imeongeza viwango vya kodi katika mafuta ya dizeli na petroli kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukuza mapato ya nchi kwa lengo la kupunguza utegemezi na kuboresha huduma, wananchi wana hofu kuwa ongezeko hilo litaongeza pia ugumu wa maisha kwa wananchi hasa wa kipato cha chini.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Kaanaeli Kaale
  • Imesomwa mara: 20

Category: Makala

Kutoka kushoto ni Rais wa Rwanda Paul Kagame, Jakaya Kikwete wa Tanzania, Yoweri Museveni wa Uganda na Joseph Kabila wa DRC wakiwa mjini Kampala.

Kagame hana sababu ya kuendeleza chuki zisizokwisha

NIANZE kwa kukiri kwamba mmoja wa marais ninaowahusudu katika eneo letu hili la Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara ni Paul Kagame.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Hamisi Kibari
  • Imesomwa mara: 179

Category: Makala

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa CDA, Pascas Muragili katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari. (Picha na Sifa Lubasi).

Wananchi wa Dodoma na kilio cha kutopata viwanja

DODOMA ni miongoni mwa mikoa inayokua kwa kasi sana hapa nchini. Lakini kumekuwepo na changamoto na adha kubwa ya upatikanaji wa viwanja.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Sifa Lubasi, Dodoma
  • Imesomwa mara: 48

Category: Makala

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Richard Sezibera.

Vibali vya kazi kikwazo cha maendeleo EAC

WAANDISHI wa habari kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) walikuwa na warsha ya siku nne jijini Arusha kuanzia Mei 27, 2013 kujadili masuala yanayohusu maendeleo ya jumuiya hiyo hususan changamoto zinazowakabili wananchi kwenye nchi hizo wakiwemo wafanyabiashara.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Basil Msongo
  • Imesomwa mara: 42

Category: Makala

Mratibu wa Tamwa Zanzibar, Mzuri Issa (kushoto) akiwa na Ofisa Utetezi Tamwa, Sabra Ali Mohamed.

Wanawake wanataka Katiba yenye kujali haki sawa

MRATIBU wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Zanzibar Mzuri Issa amesema ingawa Rasimu ya Katiba imegusia haki za wanawake haijatoa ufafanuzi wa kutosha juu ya utekelezaji wa haki hizo.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Kaanaeli Kaale
  • Imesomwa mara: 27

Category: Makala

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya akiwafariji wagonjwa katika moja ya wadi za hospitali ya mkoa huo.

Sekta ya afya Rukwa yakimbiwa na wataalamu

LICHA ya mkoa wa Rukwa kumwagiwa sifa lukuki kwa umaarufu wake wa kulima ziada ya chakula cha nafaka wakati mwingine mara sita zaidi ya mahitaji yake, bado unakabiliwa na changamoto ya kukimbiwa na watumishi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Peti Siyame
  • Imesomwa mara: 89