Category: Makala
- Created on 19 Juni 2013
Kodi ya mafuta yawatisha wengi
INGAWA serikali imeongeza viwango vya kodi katika mafuta ya dizeli na petroli kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukuza mapato ya nchi kwa lengo la kupunguza utegemezi na kuboresha huduma, wananchi wana hofu kuwa ongezeko hilo litaongeza pia ugumu wa maisha kwa wananchi hasa wa kipato cha chini.
Category: Makala
- Created on 18 Juni 2013
Kagame hana sababu ya kuendeleza chuki zisizokwisha
NIANZE kwa kukiri kwamba mmoja wa marais ninaowahusudu katika eneo letu hili la Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara ni Paul Kagame.
Category: Makala
- Created on 18 Juni 2013
Wananchi wa Dodoma na kilio cha kutopata viwanja
DODOMA ni miongoni mwa mikoa inayokua kwa kasi sana hapa nchini. Lakini kumekuwepo na changamoto na adha kubwa ya upatikanaji wa viwanja.
Category: Makala
- Created on 18 Juni 2013
Vibali vya kazi kikwazo cha maendeleo EAC
WAANDISHI wa habari kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) walikuwa na warsha ya siku nne jijini Arusha kuanzia Mei 27, 2013 kujadili masuala yanayohusu maendeleo ya jumuiya hiyo hususan changamoto zinazowakabili wananchi kwenye nchi hizo wakiwemo wafanyabiashara.
Category: Makala
- Created on 18 Juni 2013
Wanawake wanataka Katiba yenye kujali haki sawa
MRATIBU wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Zanzibar Mzuri Issa amesema ingawa Rasimu ya Katiba imegusia haki za wanawake haijatoa ufafanuzi wa kutosha juu ya utekelezaji wa haki hizo.
Category: Makala
- Created on 17 Juni 2013
Sekta ya afya Rukwa yakimbiwa na wataalamu
LICHA ya mkoa wa Rukwa kumwagiwa sifa lukuki kwa umaarufu wake wa kulima ziada ya chakula cha nafaka wakati mwingine mara sita zaidi ya mahitaji yake, bado unakabiliwa na changamoto ya kukimbiwa na watumishi.


