- 17 Juni 2013
Kama Mzazi: Natamani kutafiti shule wanazosoma watoto wa vigogo
WIKI hii napenda kuanza kwa kupongeza nia njema ya serikali za Tanzania na Uingereza kuimarisha ufundishaji wa lugha ya Kiingereza katika shule zetu za msingi na sekondari.
- 10 Juni 2013
Kama Mzazi: Unafuatiliaje usafiri wa shule wa mwanao?
KATIKA safu hii nimeshalizungumzia suala kuhusu sisi wazazi kufuatilia maendeleo ya watoto wetu mashuleni, kwa maana ya kila mara kukagua madaftari yao na kuzungumza na walimu wao kujua maendeleo yao mara kwa mara na kuachana na fikra potofu kwamba ukishawakabidhi walimu mwanao, basi kazi umemaliza.
- 09 Juni 2013
VIJANA: Wenzetu wanakimbia, tuamke
BILA shaka upo salama, hongera kwa starehe za hapa na pale, kama una matatizo tumia busara na maarifa kuyatatua, omba utapewa, tafuta utapata, na usikate tamaa.
- 09 Juni 2013
NDIMI ZA MLALAHOI: Masikini Ngweha!
NIUNGANE na wapenzi wa muziki unaoitwa wa kizazi kipya, kuomboleza kifo cha msanii Albert Mangweha a.k.a. Ngwea, Ngwair nakadhalika.
- 09 Juni 2013
JARIDA LA WANAWAKE: Jitokezeni kuchangia maoni Rasimu ya Katiba
WANAWAKE wanatakiwa kujitokeza kwa wingi katika mabaraza ya Katiba na kutoa maoni kwa ajili ya kutetea watoto na wanawake ili kupata Katiba inayozingatia haki sawa kwa wote.
- 09 Juni 2013
POROJO ZA ANKO SAGATI: Askari Jeshi anapomshushia kipigo polisi
TUKIWAONA huko mitaani kwetu tunajua wote hao ni walinzi wa umma ila wana mgawanyiko tu wa majukumu wakiwa chini ya Dola.


