- 20 Juni 2013
Vyama vya siasa visigeuke vyombo vya Dola
HIVI karibuni nchi imekumbwa na matukio ya kustaajabisha ya milipuko ya mabomu yaliyosababisha vifo na majeruhi nchini hususan katika Mkoa wa Arusha.
- 19 Juni 2013
Jengo lililoamuriwa kuvunjwa livunjwe sasa
IMEKUWA kama hadithi sasa kuhusu uvunjwaji wa jengo pacha la ghorofa 16 lililoamuliwa kuvunjwa, na hivyo kujengeka hofu kubwa kwa wakazi na wafanyabiashara wa eneo jirani na lilipo jengo hilo katika barabara ya Indira Gandhi, Dar es Salaam.
- 18 Juni 2013
Ushauri wa kusitisha uwindaji halali ni mwafaka
TANZANIA ni moja ya nchi zinazojivunia kuwa na kiwango kikubwa cha utajiri wa maliasili, ikiwamo ya wanyamapori. Takwimu zinaonesha kuwa nchi ya pili Afrika kuwa na tembo wengi, ikitanguliwa na Ethiopia.
- 17 Juni 2013
Hongera Wizara kwa kuibua elimu ya haki za binadamu
HIVI karibuni Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imezindua mpango mkakati wa elimu ya haki za binadamu, ambao utaanza kufundishwa katika ngazi zote za elimu nchini.
- 16 Juni 2013
Waosha vioo vya magari barabarani wazuiwe
NAJUA vijana na watoto wanaosafisha vioo vya mbele vya magari katika foleni barabarani za mijini hususan Dar es Salaam, wanafanya hivyo ili kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yao.
- 15 Juni 2013
Simba, Yanga zinaweza kwenda Darfur
JANA Serikali imeamua kuziruhusu klabu za Yanga na Simba kwenda kushiriki kwenye michuano ya Kombe la Kagame.


