Mnangagwa kuapishwa leo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa anatarajiwa kuapishwa leo kwa muhula wa pili wa nafasi ya urais.

Kiongozi huyo alishinda uchaguzi kwa kupata asilimia 52.6% ya kura katika uchaguzi wa rais

Mnangagwa amemualika rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, katika uapisho wake.

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa naye anatarajiwa kuhudhuria halfa hiyo ya uapisho itakayofanyika uwanja wa taifa wa Zimbabwe

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
23 days ago

Hela za kujenga ofisi za serikali zimepungua kwa asilimia 100, manager lini tutasini vifone

Capture2.JPG
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
23 days ago

Job Application

OIP.jpeg
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
23 days ago

Job Applications

R.jpeg
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x