Mnangagwa kuapishwa leo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa anatarajiwa kuapishwa leo kwa muhula wa pili wa nafasi ya urais.
–
Kiongozi huyo alishinda uchaguzi kwa kupata asilimia 52.6% ya kura katika uchaguzi wa rais
–
Mnangagwa amemualika rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, katika uapisho wake.
–
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa naye anatarajiwa kuhudhuria halfa hiyo ya uapisho itakayofanyika uwanja wa taifa wa Zimbabwe
Hela za kujenga ofisi za serikali zimepungua kwa asilimia 100, manager lini tutasini vifone
Job Application
Job Applications