Mnangagwa kuapishwa leo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa anatarajiwa kuapishwa leo kwa muhula wa pili wa nafasi ya urais.


Kiongozi huyo alishinda uchaguzi kwa kupata asilimia 52.6% ya kura katika uchaguzi wa rais

Mnangagwa amemualika rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, katika uapisho wake.

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa naye anatarajiwa kuhudhuria halfa hiyo ya uapisho itakayofanyika uwanja wa taifa wa Zimbabwe

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button