Tanzania yaelezea uzoefu wake wa kidijiti Uswisi
GEVEVA, USWISI: Mkutano wa kwanza wa Bodi ya Ubunifu wa Kidijitali ya Shirika la Mawasiliano duniani (ITU) umefanyika jijini Geneva, Uswisi huku Tanzania ikitumia fursa hiyo kuelezea uzoefu kwenye masuala ya ubunifu wa kidigiti. Katika Mkutano huo, Tanzania imewakilishwa kikamilifu na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dk Jabiri Bakari, mkurugenzi mkuu wa … Continue reading Tanzania yaelezea uzoefu wake wa kidijiti Uswisi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed