ACT wasifu utendaji wa Majaliwa

KIGOMA: CHAMA cha ACT Wazalendo Mkoa Kigoma kimepongeza hatua ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda tume na kamati mbalimbali kufuatilia tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za serikali kwenye hamashauri mbalimbali nchini ikiwemo Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Wakizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kigoma Cinema Mjini viongozi wa chama hicho walisema kazi inayofanywa na Waziri Majaliwa haina budi kuungwa mkono na Watanzania wote.

Akizungumzia kwenye mkutano huo aliyekuwa diwani wa kata ya Kitongoni, Maulid Kacheche alisema kuwa pamoja na kazi nzuri inayofanywa na Majaliwa wito wake kwa serikali kuhakikisha watuhumiwa wanakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Naye Hussein Kalyango aliyekuwa diwani wa kata ya Kigoma Mjini alisema kuwa Waziri Mkuu amefanya kazi nzuri ya kuunda tume kwa ajili ya kuchunguza tuhuma za ubadhirifu wa Sh milioni 500 Manispaa ya Kigoma Ujiji na tayari watumishi wameanza kuhojiwa na kwamba isiishie kuwahoji bali hatua za kisheria zinapaswa kuchukuliwa.

Pamoja na hilo Kalyango alisema kuwa wao kama madiwani waliomaliza muda wao wana taarifa za tuhuma nyingine za fedha zaidi ya Sh milioni 400 ambazo matumizi yake hayajulikani na hivyo kuomba Waziri Mkuu ajumuishe na hizo kwa tume aliyounda kuchunguza tuhuma za ubadhirifu kwenye manispaa ya Kigoma Ujiji.

Diwani mwingine wa chama hicho, Tatu Amani pamoja na pongezi kwa Waziri Mkuu Majaliwa kwa kazi nzuri anayofanya kuunda tume kuchunguza tuhuma za ubadhirifu amemtaka pia kuunda tume kuchunguza uuzwaji holela maeneo ya wazi kunakofanywa na watendaji wa idara ya ardhi ya halmashauri hiyo jambo ambalo limeleta migogoro mikubwa baina ya serikali na Wananchi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Virginiallen
Virginiallen
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Virginiallen
Julia
Julia
1 month ago

I’m making a good salary from home 16,580-47,065/ Dollars week, which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with everyone.
.
.
Detail Here————————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

Marry
Marry
1 month ago

★I am making a real GOOD MONEY (123$ / hr ) online from my laptop. Last month I GOT check of nearly $30k, this online work is simple and straight forward, don’t have to go OFFICE, Its home online job.(nda) You become independent after joining this JOB. I really thanks to my FRIEND who refer me this SITE. I hope you also got what I…go to home media tech tab for more detail reinforce your heart…
══════HERE► http://Www.Smartcareer1.com

Royal
1 month ago

Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://simplwork36.blogspot.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x