AFCON 2027 kupigwa Afrika Mashariki

BREAKING NEWS: Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepitisha ombi la nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa fainali za kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mwaka 2027.

Mataifa hayo ya Afrika yamezishinda Misri, Senegal, Botswana na Algeria.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button