Ahmed aibeza Azam aukubali mziki wa Yanga

DAR ES SALAAM: “Azam hawezi kutufikia tena, mpinzani aliyebaki ni Yanga ambaye na yeye tunataka kumfunga na kumpita kwa alama sita. Ni mechi ambayo tunaitaka kweli kweli, kuanzia kwa mashabiki, benchi la ufundi, wachezaji na viongozi ndio hata hatulali,”
Ndivyo alivyonukuliwa Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally katika Mkutano wake na wanahabari kuelekea mchezo wao wa ‘Kariakoo Derby’ watakapomenyana dhidi ya kikosi cha Yanga kuwania ubingwa Ligi Kuu Tanzania.
–
“Tumewekeza zaidi kwenye kuwafurahisha mashabiki wetu, Jumapili ya Novemba 5, 2023 tunataka kuwafurahisha. Na anayeshinda mchezo huo ndio atatawala nchi hadi tukikutana tena,” amesema Ahmed.
Amesema “Tumecheza mechi ngumu lakini mechi ya Jumapili ni ngumu kuliko zote hii ni kutokana na utani uliopo pamoja na ubora wa timu yao. Tunaona namna wachezaji wao wanajituma. Mechi yetu dhidi yao ni ngumu kweli kweli, mechi ya kipimo cha mpira wa nchi haiwezi kuwa nyepesi.”
Aidha, kiongozi huyo amewaasa mashabiki wa klabu hiyo kijitokeza kwa wingi katika mchezo huo ili kuwapa nguvu wachezaji wao, sambamba na hayo amewaasa kuwa watiifu kwa kuzingatia kampeni ya kuhamasisha vitendo vya kiungwana michezoni ‘Fair play’.
“Mashabiki wetu tuzingatie misingi ya uungwana na ustaarabu, tujitahidi tushangilia na kutaniana kwa heshima ili kuepusha vurugu. Tuendeleze Utanzania kwa utu na upendo.” Amesema Ahmed.
SD
I’m making $90 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning 16,000 US dollars a month by working on the connection, that was truly astounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this job now by just using this website…
More infor…. http://Www.Smartwork1.Com
SDB
HISTORIA itutabirie URAIS
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
HOME-BASED real Earner.I am just working on Facebook only 3 to 4 hours a Day and earning $47786 a month easily, that is handsome earning to meet my extra expenses and that is really life changing opportunity.(Qg) Let me give you a little insight into what I do…
FOR More Details……….. >> http://Www.Smartcareer1.com