Ajali: Mashabiki wanne Namungo wapoteza maisha

UONGOZI wa Namungo FC umetoa taarifa kuwa gari la mashabiki wake lililokuwa linatoka Lindi kwenda Dar es salaam kuishangilia timu hiyo katika mchezo dhidi ya Yanga limepata ajali na mashabiki wanne kupoteza maisha.
Katika taarifa hiyo imeeleza kuwa watu 16 wamejeruhiwa.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa mashabiki hao waliokuwa wanatoka Lindi ili kuwahi mchezo huo leo saa 1:00 usiku katika uwanja wa Azam Complex.
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Miteja karibu na Somanga. “Kwa sasa majeruhi wamepelekwa katika kituo cha afya Tingi Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi,” imeeleza taarifa hiyo.
Balozi wa Canada anatafuta vijana 6,500,000 kwa ajili ya kuandaa KIJIJI cha UJAMAA nchini Canada (KYLE XY).. Kama umesoma kuanzia level ya form six HADI PHD
finish some internet providers from home. I absolutely never thought it would try and be reachable anyway. My comrade mate got $13k just in about a month effectively doing this best task and furthermore she persuaded me to profit. Look at additional subtleties going to
this article..__________ http://Www.Careers12.com