Aliyembusu mchezaji afungiwa miaka mitatu

RAIS wa zamani wa Chama cha Soka Uhispania (RFEF), Luis Rubiales amepigwa marufuku kujihusisha na soka kwa miaka mitatu.


Agosti 26, 2023 Luis Rubiales alisimamishwa kujihusisha na soka kwa siku 90 na Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) kupisha uchunguzi kuhusu kumbusu mchezaji wa Uhispania, Jenni Hermoso wakati ugawaji medali fainali ya Kombe la Dunia la Wanawake.

Rubiales alimbusu mchezaji huyo midomoni wakati wa hafla ya utoaji tuzo huko Sydney mnamo Agosti 20. Pia alimbeba Athenea del Castillo begani wakati wa sherehe za ushindi wa bao 1-0 dhidi ya England.

Wakati Rubiales mwanzoni alijaribu kuendelea na jukumu lake, alijiuzulu kuwa Rais wa RFEF na Makamu wa Rais wa UEFA mwezi uliopita, na sasa ameadhibiwa kwa kukiuka kifungu cha 13 cha kanuni za nidhamu za FIFA.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
TiannaEaster
TiannaEaster
1 month ago

★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( g77q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online. Sign up today by following the details on this page.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Julia
Julia
1 month ago

Make money just by working online. Work from home at your convenience. You may earn over $600 a day online by working only five hours a day. I earned $18,000 from this past month during my free time.
.
.
Detail Here——————————————————————->>>  http://Www.BizWork1.Com

MadelineNorthup
MadelineNorthup
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by MadelineNorthup
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x