Asilimia 96 Waviu wamefubaza makali

Watanzania milioni 32.7 wachanja Covid-19

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema asilimia 94.

4 ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi (Waviu) wanatambua hali zao na kati yao asilimia 98.

8 wanatumia dawa za kufubaza makali ya VVU na Ukimwi.

Advertisement

Ummy ameyasema hayo leo Mei 12,2023 bungeni mjini Dodoma akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo, ambapo amesema pia asilimia 96.6 ya Waviu wamefubaza makali ya ugonjwa huo.

“Tumeangalia ufanisi wa dawa tumefanya vipimo kwa wagonjwa 309,263, asilimia 96.6 ya waliofanyiwa vipimo wameonekana kwamba Virusi vya Ukimwi vimefubazwa.” Amesisitiza

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *