Ataka vijana wasome watimize ndoto zao

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tanga, Shaymaa Kwegyir, amewaasa vijana kuacha tamaa badala yake wasome kwa bidii ili waweze kutimiza ndoto zao.

 

Ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari za Kata ya Mkinga mkoani Tanga.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button