Ataka vijana wasome watimize ndoto zao

Ataka vijana wasome watimize ndoto zao

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tanga, Shaymaa Kwegyir, amewaasa vijana kuacha tamaa badala yake wasome kwa bidii ili waweze kutimiza ndoto zao.

 

Advertisement

Ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari za Kata ya Mkinga mkoani Tanga.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *