Atakaefanya udanganyifu katika biashara faini Sh milioni 1.5

GEITA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imewatahadharisha wafanyabiashara wanapotoa risiti za Mashine za Kielektoniki (EFD) kuhakikisha zinakuwa na taarifa kamili na si vinginevyo.
Aidha TRA imewataka wateja wanaponunua bidhaa na kupatiwa risiti ya EFD wahakiki taarifa za risiti hizo ili kuepusha udanganyifu na kuwezesha wafanyabiashara walipe kodi sahihi.
Meneja wa TRA mkoa wa Geita, Maimuna Khatib ametoa angalizo hilo mjini Geita wakati akizungumuza katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya Tuwajibike inayohamasisha utoaji na uombaji wa risiti.
“Risiti halali za EFD zinatakiwa ziwe na TIN namba, anuani na jina la muuzaj, jina la mnunuzi na ikiwezekana hata TIN namba ya mnunuzi na ionyenshe thamani halisi ya bidhaa.
“Pia ionyeshe muda wa ile risiti ilivyotolewa na kwa sasa tunakumbusha wauzaji na wanunuzi kutimiza wajibu wao kwa kufuata sheria kwa kutoa na kudai risiti.” Amesema Maimuna na kuongeza;
“Madhara ya kutozingatia sheria ni kupata adhabu pamoja na kupata usumbufu usio wa lazima, kutokudai risiti na kutotoa risiti ni kosa kisheria.”
Amesisitiza mfanyabiashara mwenye vigezo vya kutumia mashine ya EFD atakayebainika kutotoa risiti kwa makusudi au kwa kufanya udanganyifu wowote wakati anauza bidhaa atatozwa faini ya Sh milioni 1.5.
Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela amewaagiza viongozi wote wa serikali kuanzia ngazi ya mtaa, kata mpaka halmashauri kusimamia kwa ufanisi kampen ya tuwajibike ili kuongeza mwitikio.
Earn income while simply working online. work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $19,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here—————————————>>> https://www.easywork7.com
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( e04q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online.
Click and Copy Here════►► http://Www.SmartCareer1.com
I recently received my first check for a total of $13,000. This is when I first truly obtained anything, and I feel so energised. I will now work much harder, and I can scarcely wait till the installment the following week.
.
.
Detail Here————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………. http://Www.Smartcash1.com