Na Lovin Kefa

Tanzania

Msando aihakikishia Ubungo amani Oktoba 29

DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA wa Wilaya ya Ubungo wamehakikishiwa uwepo wa amani Oktoba 29, siku ya uchaguzi na kwamba baada…

Soma Zaidi »
Dini

Askofu ataka watanzania kuhubiri amami

ARUSHA: ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya International Evangelism Church(IEC) Tanzania, Askofu Eliudi Isangya amewataka watanzania kila mmoja kwa imani yake…

Soma Zaidi »
Africa

Laikipia inavyoendelea kuwa chini ya ukoloni

NAIROBI: Katikati ya Laikipia, mji tulivu wa Kenya ambao bado unakumbwa na kivuli cha ukoloni, familia nyingi bado zinaomboleza na…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Serikali bega kwa bega na wafugaji Ngorongoro

Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeendelea kuzijali jamii za kifugaji, hasa katika maeneo ya pembezoni kama Wilaya ya  Ngorongoro…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Wenye ulemavu Moro wapo tayari kupiga kura

MOROGORO: WATU wenye Ulemavu waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura wapo tayari kushiriki upigaji kura Oktoba 29, mwaka…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Ngajilo aahidi timu ligi kuu

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, ameahidi kuwa moja ya vipaumbele…

Soma Zaidi »
Tanzania

Teknolojia kuimarisha uchumi Bara, Zanzibar

ARUSHA: SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeaihidi kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania Bara na Zanzibar kwa kutumia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM yaahidi kukabili wanyama waharibifu

MOROGORO: MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema kuwa endapo CCM itapewa ridhaa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Ngajilo: Nitapanda meza bungeni kupigania huduma za kibingwa Iringa

Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amesema moja ya ajenda zake kuu bungeni itakuwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Usalama wakwamisha wakimbizi DRC kurudi kwao

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema kuwa wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanaohifadhiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button