Azam dhidi ya Bahir, SFG na JKU Shirikisho Afrika

Azam FC ya Tanzania imepangwa kucheza na Bahir Dar FC ya Ethiopia katika hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Mshindi kati yao atakutana na Club Africans ya nchini Tunisia.

Singida Fountain Gate ya Tanzania imepangwa kucheza na JKU ya Zanzibar katika hatua ya kwanza ya mtoano Kombe la Shirikisho Afrika.

Advertisement

Mshindi kati yao atakutana na Future FC ya nchini Misri.

6 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *