Baba atupa maiti ya kichanga jalalani

BABA mmoja asiyefahamika ameripotiwa kutupa mwili wa mtoto mchanga jalalani kando ya Uwanja wa CCM Kalangalala mjini Geita, muda mfupi baada ya kukabidhiwa mwili kwa ajili ya mazishi.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita, Inspekta Edward Lukuba amethibitisha kupokea taarifa hiyo Januari 4, 2023, majira ya saa tano asubuhi na kueleza mtuhumiwa bado hajajulikana.

Amesema askari walifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa mtoto na kuurejesha Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita, ambapo mwili huo ulitambuliwa na madaktari na kuthibitisha mtoto alikuwa amefariki.

Amemtaja mama wa mtoto ni Emanuelina Merikioli, ambaye alikuwa amekabidhiwa mwili huo kwa ajili ya taratibu za mazishi ambaye naye alikabidhi mwili kwa mtu anayetajwa kuwa baba wa mtoto.

Shuhuda wa tukio, Baraka Mathayo amesema alimuona mwanaume huyo akitupa boksi lenye kanga na kisha kukimbia na alipofika kutazama kilichotupwa alishangazwa kuona kilichomo ni mtoto.

 

Habari Zifananazo

27 Comments

  1. Thanks for one’s marvelous posting! I really enjoyed reading it, you
    are a great author.I will make sure to bookmark your blog and definitely will come back at some
    point. I want to encourage yourself to continue your great work, have a nice evening!

  2. With havin so much content do you ever run into any problems of plagorism or copyright infringement? My blog has a lot of completely unique content I’ve either written myself or outsourced but it seems a lot of it is popping it up all over the internet without my authorization. Do you know any methods to help reduce content from being stolen? I’d certainly appreciate it.

  3. I am sure this piece of writing has touched all the internet viewers, its really really pleasant piece of writing on building up new website.

  4. Hello I am so grateful I found your site, I really found you by error, while I was looking on Aol for
    something else, Nonetheless I am here now and
    would just like to say many thanks for a remarkable post and
    a all round thrilling blog (I also love the theme/design), I don’t have time to browse it all at the minute but I have book-marked it and also added your RSS feeds, so when I have time I will be back to read
    more, Please do keep up the excellent work.

  5. Thanks for putting together an engaging post with plenty to consider. I’m on board with some of the conclusions, but I think there are circumstances where a different approach could make more sense. Apex Hub

  6. The content was informative and presented in a way that kept my attention. I agree with the general direction, but I think individual circumstances can make the outcome less predictable than the post suggests.
    ph777pub

  7. Kisa hiki kinaacha maswali mengi kuhusu mazingira yaliyofanya mwili wa mtoto kuishia jalalani. Kinachonishangaza zaidi ni kwamba mwili ulikuwa tayari umekabidhiwa kwa ajili ya taratibu za mazishi, lakini baadaye ukaachwa eneo la wazi. Ni muhimu uchunguzi wa tukio kama hili kufanyika kwa umakini ili ukweli ujulikane na wahusika wawajibishwe. Pia jamii inapaswa kutoa taarifa mapema inaposhuhudia jambo la namna hii, maana tukio kama hili sio jambo la kupuuzwa hata kidogo.

  8. Tukio hili linaacha maswali mengi, hasa kuhusu namna mwili wa mtoto ulivyokabidhiwa na hatua zilizofuata. Jambo la muhimu sasa ni uchunguzi wa kina ili kujua kilichotokea na kama kuna mtu mwingine aliyehusika. Pia, taarifa kama hizi zinapaswa kutolewa kwa uangalifu kwa sababu familia tayari inapitia kipindi kigumu sana. Ingekuwa vizuri kujua kama polisi wameanza kuwahoji watu waliokuwepo wakati mwili unakabidhiwa, maana maelezo hayo yanaweza kusaidia kupata picha kamili ya tukio.

  9. This raised several questions in my mind, particularly regarding how the child’s body was handed over and what procedure was followed. It is crucial that the roles of others involved in this incident also be investigated.

  10. Heartbreaking incident that raises serious questions about responsibility and proper procedures , this incident also shows why proper procedures for handling and transferring the remains of a child are so important,hopefully, the investigation helps establish what happened and provides answers to those affected!

  11. This is a really sad and upsetting story. It tells how a newborn baby’s body was left near a road in Geita after it had been given to someone for burial. The witness’s story is especially shocking, as the man reportedly left the box and ran away. I hope the authorities find out who was responsible and give the family the answers they need!

  12. Tukio hili linaacha maswali mengi, hasa kuhusu mazingira yaliyomfanya mtu kuchukua hatua ya kutupa mwili wa mtoto mahali kama jalalani. Kinachonivutia zaidi ni umuhimu wa uchunguzi wa kina kabla ya kumhukumu mtu yeyote, kwa kuwa taarifa za awali zinaweza zisieleze picha nzima. Pia familia inahitaji msaada na faraja katika hali kama hii, sio lawama pekee. Ingekuwa vizuri kujua kama polisi wameweza kupata taarifa zaidi kutoka kwa mashahidi au kamera za eneo hilo.

  13. This report clearly highlights the importance of handling such sensitive situations responsibly and ensuring a thorough investigation by the authorities. I hope the investigation reveals the truth and that the family receives the necessary support during this difficult time.

  14. Kesi kama hii inaacha maswali mengi kuhusu taratibu za mazishi na uwajibikaji pale mwili wa mtoto unapokabidhiwa kwa ndugu. Kitu nilichojiuliza ni kwa nini mwili ulikabidhiwa kwa mtu bila kuhakikisha anafahamika vizuri na ana uhusiano gani na mtoto. Pia uchunguzi wa kina ni muhimu ili kujua kilichotokea kabla ya mwili kutupwa. Matukio kama haya yanaumiza jamii, na taarifa zaidi za uchunguzi zikijulikana zitasaidia kuelewa chanzo cha tukio hili.

  15. It’s heartbreaking to read about such an incident, especially when a family was already dealing with the loss of a newborn. The account also shows how important it is for authorities to investigate carefully, establish what happened, and provide clarity to those affected.

  16. This is very distressing news. The death of a newborn is heartbreaking in itself, but the father throwing the body into the bushes after taking it for burial is an act of extreme cruelty. The police must investigate this promptly so that the truth comes to light. The mother needs mental support. Reading this news was deeply saddening.

  17. Pole sana kwa mama. Lakini kuna mambo hayaeleweki hapa. Inasemekana mama alikabidhi mwili kwa mtu anayetajwa kuwa baba, lakini baba “hajulikana”? Inakuwaje mtu asiyefahamika akabidhiwe mwili hospitalini? Na jina la mama linaonekana wazi wakati baba hajulikani. Ukweli unahitajika hapa, vinginevyo tunahukumu bila ushahidi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button