Bashungwa asifu utendaji wa Rais Samia

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi madhubuti mwenye maono ya kufikili na kuona mbali kwa ajili ya Watanzania.

Bashungwa alieleza hayo katika kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo.

“Rais nakupongeza kwa dhati ya moyo wangu kwa uongozi wako madhubuti, hakika umekuwa faraja kwa Watanzania wote. Wewe ni Rais mwenye maono ya kuona mbali.” Amesema Bashungwa.

Bashungwa amesema Rais Samia Katika uongozi wake madhubuti yapo mamaamuzi ya kijasiri amefanya na ataendelea kuyafanya na wapo watu watamkatisha tamaa lakini asikate tamaa Watanzania watakumshukuru baadaye.

“Yapo maamuzi magumu ya kijasiri unayafanya Rais lawama zitakuwepo leo lakini Watanzania tutakushuru baadaye” amesema Bashungwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Regina R. Hawley
Regina R. Hawley
2 months ago

I made over $700 per day using my mobile in part time. I recently got my 5th paycheck of $19632 and all i was doing is to copy and paste work online. this home work makes me able to generate more cash daily easily simple to do work and regular income from this are just superb. Here what i am doing.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://fastinccome.blogspot.com/

kaydacitru
kaydacitru
Reply to  Regina R. Hawley
2 months ago

I have made $18625 last month by w0rking 0nline from home in my part time only. Everybody can now get this j0b and start making dollars 0nline just by follow details here..
🙂 AND GOOD LUCK.:)
.
.
.
.
HERE====)> http://www.dailypro7.com

ThaNold
ThaNold
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE….. https://onlineweb76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by ThaNold
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x