Basi la New Force lauwa watano

WATU watano akiwemo mtoto mwenye umri unaokadiriwa kuwa miaka nane hadi tisa wamethibitika kufariki dunia, kadhaa wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kugonga daraja na kuingia mtaroni katika kijiji cha Igando Kata ya Luduga Wilaya ya Wanging’ombe mkoani wa Njombe leo.

Taarifa zinaeleza kuwa dereva wa basi hilo lenye namba za usajili T173 DZU lililokuwa linatokea Dar es Salaam kwenda Rukwa alishindwa kulimudu wakati akilipita lori kabla ya kupoteza uelekeo.

Akizungumza kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, John Makuri Imori amesema taarifa zaidi zitatolewa baadaye.

“Kwa taarifa za awali basi la New Force lilikuwa linatoka Dar es salaam kwenda Rukwa, lilipofika Igando kuna sehemu ya daraja ‘likaovartake’ likapoteza uelekeo likagonga daraja likaingia mtaroni.

Tupo eneo la tukio kwa sasa hatujajua majeruhi ni wangapi lakini zenye uhakika hapa ni maiti tano wakiwemo wanaume wanne na mtoto mmoja”

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
PhyllisPostmus
PhyllisPostmus
3 months ago

**Makes $140 to $180 per day online work and i received $16894 in one month online acting from home.I am a daily student and work simply one to a pair of hours in my spare time.Everybody will do that job and online makes extra cash by simply…open this site…….———–> http://Www.Easywork7.com

Last edited 3 months ago by PhyllisPostmus
Kim
Kim
3 months ago

Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.

Just Open This Website………>>> http://www.Richcash1.com

Last edited 3 months ago by Kim
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x