Biharamulo mbioni kupata maji ya uhakika

WIZARA ya Maji imetenga zaidi ya Sh milioni 850 kwa ajili ya ujenzi wa chanzo cha maji kutoka Ziwa Victoria, ili kuunganisha maji katika mji mdogo wa Biharamulo na kuimarisha huduma ya maji katika mji huo.
Waziri wa Maji Juma Aweso amesema kuwa hivi karibuni wakazi wa Biharamulo wataanza kupata huduma ya maji ya uhakika kupitia Mamlaka ya Maji ya Biharamulo, baada ya mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kuanza kutekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Bukoba Mjini (BUWASA).
Alisema kuwa utekelezaji wa mradi huo umetokana na ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoifanya mkoani Kagera na kupitia Wilaya ya Biharamulo, ambapo wananchi na Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Ezra Chiwelesa, waliomba huduma ya maji na suluhu ya kudumu juu ya upatikanaji wa maji katika wilaya hiyo.
“Tayari serikali imesikia kilio chenu , nakumbuka Mheshimiwa Rais alipopita hapa mlisema vyanzo vimekauka, maji ni machafu, tunapata maji muda mchache, naamini upatikanaji wa maji kutoka Ziwa Victoria utakuwa ndilo jibu lenu la kupata maji saa 24, “amesema Aweso.
Waziri huyo katika ziara yake alizindua tanki la maji lenye ujazo wa lita milioni moja, ambalo limeimarisha huduma ya maji katika mji wa Biharamulo, ambalo limegharimu zaidi ya Sh Milioni 300.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Mji wa Biharamulo, Siraji Basiga kukamilika kwa tanki hilo kumeanza kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa saa 12.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://cashonline76.blogspot.com/
I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://fastinccome.blogspot.com/
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
I made over $700 per day using my mobile in part time. I recently got my 5th paycheck of $19632 and all i was doing is to copy and paste work online. this home work makes me able to generate more cash daily easily simple to do work and regular income from this are just superb. Here what i am doing.
.
.
.
Check info here——————>>> https://Dollargate0.blogspot.Com
Making an extra $15,000 per month from home by doing easy copy and paste type internet work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone may now easily generate additional money online working
Detail Here———————> >> http://www.join.salary49.com
> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1
Google now pays between $10,447 and $13,025 per month for residential internet work. I attempted this exercise a few months ago and earned $15,248 in the first month. My life has undoubtedly improved, I believe.
.
.
Detail Here———————————————————–>>> http://Www.OnlineCash1.Com