Bilioni 20/- zarejeshwa vituo vya kutolea huduma za afya iCHF

MFUKO wa Bima ya Afya ya Jamii ulioboreshwa ( iCHF), umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya Shilingi bilioni 30 kutokana na michango ya wanachama wake kwa kipindi cha miaka minne hadi 2022.

Kati fedha iliyokusanywa Shilingi bilioni 20 zimerejeshwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya yakiwa ni malipo ya gharama za kuhudumia wanachama.

Mratibu wa mfuko wa iCHF kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI), Silvery Maganza alisema hayo Desemba 5, 2022 mjini Morogoro wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maofisa wa mfuko ngazi ya mikoa ambao ni wahasibu , wataalamu wa Tehema na waratibu yaliyohusu matumizi ya mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE).

Mafunzo hayo yamefadhiliwa na serikali ya Uswis chini ya Shirika la Maendeleo ya Ushirikiano la Uswis (SDC) kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya (Health Promotion and System Strengthening).

Amesema mfuko huo una zaidi ya wanachama milioni nne sawa na asilimia 7.6 na kwamba lengo ni kufikia asilimia 80 ya Watanzania walio kwenye sekta zisizokuwa rasmi ambao mara nyingi wanapata changamoto ya matibabu kwa kukosa fedha wanapougua.

Maganza amesema icha ya idadi ya wanachama walioandikishwa ni ndogo, hilo linatokana na elimu ndogo kwa wananchi ya kutambua faida ya mfuko huo na umuhimu wake katika jamii.

 

“ Nitumie fursa hii kuwaomba wananchi kujiunga na mfuko huu ili wawe na uhakika wa matibabu , wanapaswa kujua ugonjwa unakuja bila ya taarifa , ni umuhimu kwao kuchangia malipo ya iCHF ili ikitokea mtu ameugua aweze kupata huduma ya matibabu” anasema Maganza.

Pia anasema mfumo wa tehema unaotumiwa kwa sasa umeonyesha mafanikio makubwa kwa kurahisisha kazi kwa vile mwananchi anaweza kujiandikisha kupata kadi na huduma za matibabu kuanzia ngazi ya nchini hadi hospitali za rufaa za mikoa popote pale nchini.

Naye mchambuzi wa mifumo ya Tehema kutoka Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya ,Nicholas Kanisa amesema wakiwa ni wadau, kwa kushirikiana na serikali wanasaidia maeneo mbalimbali ya huduma za afya.

Amejata maeneo hayo ni pamoja na masuala ya kiufundi na kifedha ili kuhakikisha kwamba mifumo yote inaunganika ikiwa na uwezeshaji wa mafunzo kwa watumishi wa mfuko wa iCHF ya kuwajengea uwezo .

Habari Zifananazo

29 Comments

  1. Appreciating the hard work you put into your site and detailed information you offer. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same old rehashed material. Fantastic read! I’ve saved your site and I’m including your RSS feeds to my Google account.

  2. Thank you, I’ve just been looking for info approximately this topic for
    a long time and yours is the best I have came upon till now.
    However, what in regards to the bottom line? Are you positive in regards
    to the source?

  3. I believe that is one of the such a lot important info for me. And i’m glad reading your article. But want to commentary on few normal things, The website style is ideal, the articles is really great : D. Excellent task, cheers

  4. We are a group of volunteers and opening a new scheme in our community. Your site offered us with valuable information to work on. You’ve done an impressive job and our entire community will be thankful to you.

  5. Thanks for every other informative website. The place else may just I am getting that kind of info written in such an ideal way? I’ve a challenge that I’m just now working on, and I have been on the look out for such info.

  6. I seriously love your site.. Excellent colors & theme. Did you build this amazing site yourself? Please reply back as I’m wanting to create my own website and want to learn where you got this from or exactly what the theme is called. Many thanks!

  7. I simply couldn’t leave your web site prior to suggesting that I really loved the standard information an individual supply for your guests? Is gonna be again continuously in order to check up on new posts

  8. Very nice post. I just stumbled upon your weblog and wanted to say that I have truly enjoyed surfing around your blog posts. After all I’ll be subscribing to your feed and I hope you write again very soon!

  9. Excellent weblog here! Additionally your website quite a bit up very fast! What web host are you the usage of? Can I get your affiliate link in your host? I want my site loaded up as quickly as yours lol

  10. We stumbled over here different page and thought I might check things out. I like what I see so now i’m following you. Look forward to looking into your web page repeatedly.

  11. excellent post, very informative. I’m wondering why the other experts of this sector do not notice this. You should continue your writing. I’m sure, you’ve a huge readers’ base already!

  12. Hmm it appears like your website ate my first comment (it was extremely long) so I guess I’ll just sum it up what I wrote and say, I’m thoroughly enjoying your blog. I too am an aspiring blog blogger but I’m still new to everything. Do you have any tips and hints for beginner blog writers? I’d really appreciate it.

  13. Hi there! This post could not be written much better! Looking at this article reminds me of my previous roommate! He continually kept preaching about this. I most certainly will forward this article to him. Pretty sure he’ll have a very good read. Thank you for sharing!

  14. Thanks for your personal marvelous posting! I really enjoyed reading it, you will be a great author.I will be sure to bookmark your blog and will often come back sometime soon. I want to encourage continue your great posts, have a nice evening!

  15. That is very fascinating, You’re an excessively professional blogger. I have joined your feed and stay up for seeking extra of your fantastic post. Additionally, I have shared your site in my social networks

  16. Thank you, I have recently been looking for information approximately this subject for ages and yours is the best I’ve discovered till now. But, what in regards to the conclusion? Are you positive in regards to the source?

  17. Hi there everyone, it’s my first pay a quick visit at this web page, and paragraph is actually fruitful in support of me, keep up posting these types of articles.

  18. Having read this I thought it was rather enlightening. I appreciate you spending some time and energy to put this information together. I once again find myself spending way too much time both reading and commenting. But so what, it was still worthwhile!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button