Bilioni 20/- zatumika kununua dawa kila mwezi

DAR ES SALAAM: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Serikali imeendelea kuithamini sekta ya afya kwa kutenga bajeti itakayopunguza changamoto mbalimbali.
Akizungumza katika uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na viashiria vya Malaria Tanzania ya mwaka 2022 iliyofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano JNICC Dar es Salaam leo, Oktoba 28, 2023, Waziri Ummy amesema kiasi cha Shilingi bilioni 20 kununua dawa kila mwezi.
Ameongeza kuwa licha ya fedha nyingi kuelekezwa katika miundombinu ya afya, serikali pia imekuwa ikipambana na upungufu wa dawa katika vituo vya afya na ndio maana bejeti katika huduma hiyo inaongezeka kila wakati.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ndiye mgeni rasmi katika tukio hilo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Laurachs
Laurachs
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Laurachs
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x