Bissaka nje wiki kadhaa

BEKI wa Manchester United, Aaron Wan-Bissaka atakuwa nje ya uwanja baada ya kupata majeraha katika mchezo wa Jumamosi dhidi ya Brighton & Hove Albion ulioisha kwa United kupoteza mabao 3-1 uwanja wa Old Trafford.
Beki huyo wa kulia aliingia dakika ya 85 kuchukuwa nafasi ya Sergio Reguilón.
Kwa mujibu wa taarifa ya Manchester United, tathmini zaidi itahitajika ili kubaini ni muda gani Wan-Bissaka atakuwa nje, lakini dalili za awali zinaonyesha kuwa itakuwa wiki kadhaa.
Tembelea //epaper.tsn.go.tz kusoma zaidi
–
Una maoni usisite kutuandikia
My most recent pay test was $9,500 for working 12 hours each week online. My friend has been averaging 15,000 for months and works around 20 hours per week. I can’t believe how simple it became as soon as I tried it out.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
ATEMBEA UCHI WA MNYAMA BAADA YA MAMBO YAKE KUKATALIWA KWENYE JAMII IKIWA NI PAMOJA NA NGUO ALIZOKUWA ANAZIVAA..