BOT yawaita watanzania kununua hatifungani
Yawataka wasiogope kima cha chini Sh milioni 1

BENKI Kuu ya Tanzania BOT imewataka watanzania wa ndani na waishio nje ya nchi ‘diaspora’ kuja kuwekeza kwenye dhamana (hati fungani) za serikali kwani ni salama kwa fedha zao
Taarifa hiyo imetolewa leo Julai 10, 2023 katika banda la BOT lililopo kwenye Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara ‘Sabasaba 2023’ na Mchambuzi wa Masuala ya Fedha kutoka Kurugenzi ya Masoko ya Fedha BOT, Ephraim Madembwe.
Amesema, Watanzania wasione hati fungani kuwa ni kwa matajiri tu, mtu yoyote anaweza kuweka, kima cha chini ni sh milioni 1, hivyo Mtanzania yeyote anayo fursa ya kuwekeza.
“Mtanzania yeyote anaweza kuja kuwekeza kwenye zamana za serikali kuanzia wale wenye mtaji wa sh milioni moja hadi wenye vipato vikubwa zaidi.”Amesema Madembwe..
Amesema Serikali mwaka jana mwezi wa tano ilibadilisha sheria ambayo mwanzoni ilipunguza wigo wa kuuza wakazi wanaoishi nje ya Tanzania lakini baada ya sheria kubadilishi wakaazi wote ambao wanaishi nchi za SADC na hata waliopo nje wanaruhusiwa kuwekeza, na dhamana hizi tunawalenga hasa ‘Daispora’
Amesema faida ya kuwekeza kwenye dhamana za serikali ni fursa kwa kuwa ukiwekeza kwenye dhamana za serikali, hawatakuwa na hatari ya kupoteza, uwekezaji wowote unaadhiriwa pale unapopoteza.
“Pia ukiwekeza kwenye dhamana za serikali una uwezo wa kutumia dhamana yako kupata mkopo, inakuwa kinga ya mkopo.”Amesema
Aidha, amesisitiza “Uwekezaji wa dhamana za serikali, kwa ambao hawafahamu ipo fursa ya kuwekeza, zamana za serikali ni nyezo ambayo serikali inatumia kukopa kwenye soko lake la ndani.
Akifafanua amesema, kwa mwaka huu wa fedha huu 2023, 2024 serikali imepanga kutumia Sh trilioni 44.4 sasa kwenye eneo hilo ambalo serikali kupitia wabunge wameshapitisha, serikali ni lazima itafute rasilimali fedha.
“Eneo moja wapo ambayo serikali inatafuta fedha ni kwa kuuza dhamana za serikali kwa hiyo kwenye maonesho haya tunawambia kuhusu hizi fursa na umuhimu wa kuwekeza.”Amesema.
I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ http://Www.dailypro7.com
online job from home. Last month i have earned and received $16650 from this job-home- by giving this only 3 hrs a a day.Every person can now get this job and start earning online by follow details.
🙂 GOOD LUCK.:)
.
.
HERE——➤ https://fastinccome.blogspot.com/
I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it. Here’s what I do.
…
For more details visit————————➤ https://www.join.hiring9.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://onlineweb76.blogspot.com/
Work from home and get money. You have the option of working from home anytime you choose. Working only 5 hours per day online, you might earn more than $600 each day. In my leisure time, I made $18,000 using this.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.OnlineCash1.Com