Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali

Bunge la Tanzania limepitisha rasmi Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2023/2024 kwa kura 354 ambayo ni  sawa 95%. Jumla ya wabunge waliokuwepo leo Juni 26, 2023 wakati wa upigaji kura  ni 374, ambao hawakuwepo ni 18, kura ya hapana ni 0 na kura ambazo hazikuwa na uamuzi ni kura 20.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button