Cadena kocha wa makipa Simba

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano kumuajiri Daniel Cadena kuwa kocha wa makipa kwa mkataba wa miaka miwili.

Cadena (45) amejiunga na Simba akitokea Azam FC alipodumu kwa mwaka msimu mmoja wa 2022/23..

Mhispania ana leseni ya UEFA.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button