Afya

Usugu wa vimelea wapungua, vifo vyashuka

DAR ES SALAAM: Matumizi ya dawa za antibiotiki kiholela yamepungua kwa 80%, hivyo kupelekea pia kupunguza vifo kwa 14% vitokanavyo…

Soma Zaidi »

Bil 3/- zahitajika kusaidia watoto wenye ulemavu

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya CCBRT imezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya uchangishaji fedha yenye lengo la kukusanya Sh bilioni…

Soma Zaidi »

Wananchi 16,000+ kunufaika na zahanati Mirerani

MANYARA: ZAIDI ya wananchi 16,000 wakiwemo wachimbaji wa madini na wadau mbalimbali wa shughuli za kiuchumi wanatarajiwa kunufaika na Zahanati…

Soma Zaidi »

Huduma za dharura Manyara zapunguza hatari ya vifo

MANYARA: UBORESHAJI wa miundombinu ya huduma za afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara umechangia kwa kiasi kikubwa…

Soma Zaidi »

PURA yaunga mkono mapambano dhidi ya Ukimwi, MSY

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeahidi kuwa kuwa itandelea kuunga mkono juhudi za…

Soma Zaidi »

Jamii yahamasishwa kuchangia damu

KIGOMA: Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dk Damas Kayera ameihamasisha jamii kujenga utamaduni wa kuchangia damu mara kwa mara…

Soma Zaidi »

Kampeni yazinduliwa kuokoa watoto wenye matatizo ya moyo

DAR ES SALAAM: HEART Team Africa Foundation (HTAF), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imezindua rasmi…

Soma Zaidi »

Rafiki wa Binti waweka nguvu Afya ya Hedhi

PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa  kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya…

Soma Zaidi »

Wananchi wahimizwa unywaji maziwa

IRINGA: Mkoa wa Iringa umepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya 29 ya Wiki ya Maziwa nchini yanayofanyika kuanzia…

Soma Zaidi »

Watoa maudhui lishe, afya bila kibali kubanwa

DODOMA; Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada…

Soma Zaidi »
Back to top button