Afya

Spika ayabariki majibu ya Dk. Mollel Huduma Bure kwa Wajawazito

DODOMA: SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ametoa muongozo akieleza kuridhishwa na majibu ya Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin…

Soma Zaidi »

Madaktari Marekani watoa matibabu bure Moro

MOROGORO: MADAKTARI Bingwa kutoka Marekani waliopo katika Taasisi ya Global Health Humanity First inayomilikiwa na Jumuiya ya Ahamadiyya Duniani wameweka…

Soma Zaidi »

Muhas waandaa kambi uchunguzi magonjwa ya moyo

DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema kimeandaa Kambi Maalum ya Afya ya Moyo…

Soma Zaidi »

Prof. Janabi achaguliwa Mkurugenzi WHO-Afrika

GENEVA — Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO kilichofanyika leo Jumapili, Mei 18, 2025…

Soma Zaidi »

Waatalamu wa afya wataongezewa ujuzi -Nyembea

DAR ES SALAAM: TANZANIA na mataifa mengine 17 kutoka Afrika yanarajia kunufaika na mafunzo ya upasuaji wa mishipa ya damu…

Soma Zaidi »

Wawili kufanyiwa upasuaji wa marudio nyonga, magoti

DAR ES SALAAM: TAKRIBANI wataalamu wa mifupa 80 kutoka China na Tanzania wamekutana jijini Dar es Salaam katika kongamano la…

Soma Zaidi »

Muhimbili uhaba wa damu ni 60%

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam imeeleza kuwa ina upungufu wa damu kwa asilimia 60 kutokana na…

Soma Zaidi »

Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi

DODOMA: Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameitaka jamii kuzingatia matumizi ya pombe kwa kiasi, hasa pombe kali,…

Soma Zaidi »

Maambukizi ya malaria yapungua asilimia 6.7

RUVUMA: TAFITI za viashiria vya malaria nchini zinaonesha ugonjwa huo umepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 8.1…

Soma Zaidi »

Madaktari bingwa kuwafikia watu 7,000 Arusha

ARUSHA: Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Missaile Musa amesema wamejipanga kuwahudumia wananchi wapatao 7,000 kwenye kambi ya madaktari bingwa…

Soma Zaidi »
Back to top button