Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
BOT yahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu
August 8, 2026
BOT yahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu
DODOMA: BENKI Kuu Tanzania (BOT) imewahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu inayotolewa na mabenki nchini kupitia fedha za Mfuko…
Mfumo wa usajili waboreshwa Brela
August 8, 2026
Mfumo wa usajili waboreshwa Brela
DODOMA:WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umebainisha kuwa umefanya maboresho makubwa katika mfumo wake wa usajili ili kurahisisha…
Wafanyabiashara wapya wasogezwa mfumo rasmi
August 7, 2026
Wafanyabiashara wapya wasogezwa mfumo rasmi
DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA wapya wametakiwa kusajili namba za utambulisho wa mlipakodi (TIN) ili kunufaika na msamaha wa kodi kwa…
Watanzania wahamasishwa kutumia vyakula vya asili
August 7, 2026
Watanzania wahamasishwa kutumia vyakula vya asili
LINDI; NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde amewaasa Watanzania kutumia vyakula vya asili ili kuhamasisha matumzi endelevu ya mbegu za…
Kampuni ya SBL yashinda tuzo kimataifa
August 7, 2026
Kampuni ya SBL yashinda tuzo kimataifa
DAR ES SALAAM; Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imeendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya bidhaa zake tatu…
Pangani watangaza fursa zao la popoo
August 7, 2026
Pangani watangaza fursa zao la popoo
MOROGORO; Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Seif Ally amesema zao la popoo linalolimwa Pangani, mkoani Tanga lina fursa…
‘Teknolojia bunifu ziwafikie wakulima, wafugaji vijijini’
August 6, 2026
‘Teknolojia bunifu ziwafikie wakulima, wafugaji vijijini’
MOROGORO: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa wito kwa wadau wa Taasisi za Serikali na Sekta Binafsi kuhakikisha kuwa maarifa,…
Tanzania yavuna mikataba mitatu Africa50
August 6, 2026
Tanzania yavuna mikataba mitatu Africa50
TANZANIA imehitimisha kwa mafanikio Jukwaa la Miundombinu Afrika na Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50, huku mikataba na makubaliano matatu…
JK ataka Afrika iwekeze kwenye elimu
August 6, 2026
JK ataka Afrika iwekeze kwenye elimu
DAR ES SALAAM: Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete, amesema uwekezaji katika elimu bora ndiyo msingi muhimu…
Wakulima 37 wafaidika mpango wa EFTA
August 6, 2026
Wakulima 37 wafaidika mpango wa EFTA
ARUSHA; Wakulima 37 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepokea takribani Sh milioni 100 kama rejesho la asilimia 50 ya riba waliyolipa…