Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

BOT yahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu

BOT yahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu

DODOMA: BENKI Kuu Tanzania (BOT) imewahimiza wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu inayotolewa na mabenki nchini kupitia fedha za Mfuko…
Mfumo wa usajili waboreshwa Brela

Mfumo wa usajili waboreshwa Brela

DODOMA:WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umebainisha kuwa umefanya maboresho makubwa katika mfumo wake wa usajili ili kurahisisha…
Wafanyabiashara wapya wasogezwa mfumo rasmi

Wafanyabiashara wapya wasogezwa mfumo rasmi

DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA wapya wametakiwa kusajili namba za utambulisho wa mlipakodi (TIN) ili kunufaika na msamaha wa kodi kwa…
Watanzania wahamasishwa kutumia vyakula vya asili

Watanzania wahamasishwa kutumia vyakula vya asili

LINDI; NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde amewaasa Watanzania kutumia vyakula vya asili ili kuhamasisha matumzi endelevu ya mbegu za…
Kampuni ya SBL yashinda tuzo kimataifa

Kampuni ya SBL yashinda tuzo kimataifa

DAR ES SALAAM; Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imeendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya bidhaa zake tatu…
Pangani watangaza fursa zao la popoo

Pangani watangaza fursa zao la popoo

MOROGORO; Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Seif Ally amesema zao la popoo linalolimwa Pangani, mkoani Tanga lina fursa…
‘Teknolojia bunifu ziwafikie wakulima, wafugaji vijijini’

‘Teknolojia bunifu ziwafikie wakulima, wafugaji vijijini’

MOROGORO: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa wito kwa wadau wa Taasisi za Serikali na Sekta Binafsi kuhakikisha kuwa maarifa,…
Tanzania yavuna mikataba mitatu Africa50

Tanzania yavuna mikataba mitatu Africa50

TANZANIA  imehitimisha kwa mafanikio Jukwaa la Miundombinu Afrika na Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50, huku mikataba na makubaliano matatu…
JK ataka Afrika iwekeze kwenye elimu

JK ataka Afrika iwekeze kwenye elimu

DAR ES SALAAM: Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete, amesema uwekezaji katika elimu bora ndiyo msingi muhimu…
Wakulima 37 wafaidika mpango wa EFTA

Wakulima 37 wafaidika mpango wa EFTA

ARUSHA; Wakulima 37 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepokea takribani Sh milioni 100 kama rejesho la asilimia 50 ya riba waliyolipa…
Back to top button