Fedha

BoT yatahadharisha wanaoshikilia dola

ARUSHA: Banki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tahadhari kwa raia wanaoshikilia pesa za kigeni hususani dola ya Marekani kuwa wapo…

Soma Zaidi »

TASAC yaboresha kanuni kuongeza ufanisi

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC),  limesikia kilio cha wadau wa sekta ya usafiri kwa njia ya maji kwa…

Soma Zaidi »

Vijana 420 wafundishwa kudhibiti sumu kuvu

VIJANA 420 kutoka mikao 13 nchini wamefundishwa kudhibiti sumu kuvu kwa kutengeneza vihenge vya chuma ili kumsaidia mkulima anapovuna na…

Soma Zaidi »

Abuni mashine kuchakata mafuta ya parachichi

MASHINE rahisi isiyotumia umeme imebuniwa kwa lengo la kuchakata mafuta ya parachichi. Mbunifu na Mtafiti kutoka Shirika la Utafiti na…

Soma Zaidi »

TRA: Vitenge vya nje vimepunguziwa kodi

VITENGE vinavyoagizwa nje ya nchi vimepunguzwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA), hivyo kutoa unafuu kwa wafanyabiashara. Mkurugenzi…

Soma Zaidi »

Machinga Iringa watangaza kurudi maeneo yasio rasmi

MACHINGA wanaofanya biashara katika soko la Machinga la Mlandege mjini Iringa, leo wametangaza kurejea katikati ya mji katika maeneo yasio…

Soma Zaidi »

TPDC kuongeza tija uzalishaji gesi

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kukarabati kisima namba moja cha kuzalisha gesi asilia Mnazi Bay, mkoani Mtwara, …

Soma Zaidi »

Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa ujenzi wa gati la kuegeshea boti kubwa katika bandari ya…

Soma Zaidi »

Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza

WAZIRI  wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (POSTA) kuwa wabunifu katika kutangaza…

Soma Zaidi »

Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao

MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mwezi ujao wanatarajia kutangaza mashirika na kampuni zitakazofutwa, kuunganishwa na zitakazopewa muda wa kurekebisha…

Soma Zaidi »
Back to top button