Uchumi

India kuongeza soko la mazao Tanzania

SERIKALI ya India imesema iko katika hatua za kuchunguza fursa za kuongeza kiwango cha bidhaa za kilimo kutoka Tanzania zinazoingia…

Soma Zaidi »

Muswada wa mikopo kwa mali zinazohamishika watua bungeni

DODOMA; Serikali imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Mikopo kwa Dhamana za Mali Zinazohamishika wa Mwaka 2026. Akiwasilisha bungeni muswada…

Soma Zaidi »

Mapendekezo marekebisho sheria tasnia sukari haya hapa

DODOMA; Serikali imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Kilimo wa mwaka 2026 (The Agricultural Laws (Amendments)…

Soma Zaidi »

Iringa yajipanga matumizi mbegu bora

IRINGA: WAKULIMA mkoani Iringa wamehimizwa kutumia mbegu bora na zilizoidhinishwa ili kuongeza tija na uzalishaji wa mazao, huku Serikali ikiimarisha…

Soma Zaidi »

Upanuzi Uwanja wa Ndege Musoma wafikia asilimia 70

MUSOMA: SERIKALI imefikia asilimia 70 ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege Musoma mkoani Mara,…

Soma Zaidi »

TAFICO waja kivingine kuimarisha sekta uvuvi

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Uvuvi Tanzania (TAFICO), limesaini mkataba wa ujenzi wa meli mbili za uvuvi wa bahari kuu…

Soma Zaidi »

Kamati ya Bunge yasifu ufanisi Wizara ya Viwanda na taasisi zake

DODOMA; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ikiongozwa na Mwenyekiti wak, Deodatus Mwanyika, imeipongeza Wizara…

Soma Zaidi »

TBS yapongezwa udhibiti usalama, ubora wa bidhaa

DODOMA; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa maelekezo kuadimika kwa saruji

DODOMA; Serikali imewapa siku saba wamiliki wa viwanda vya kuzalisha saruji nchini kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kutatua changamoto ya…

Soma Zaidi »

Rais Samia afurahishwa huduma NSSF

ZANZIBAR; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika…

Soma Zaidi »
Back to top button