Uchumi

Boti ya mizigo yateketea moto, yajeruhi 2 Kigoma

KIGOMA; WATU wawili wamejeruhiwa kwa moto baada ya boti ya mizigo inayojulikama kwa jina la Mv Suala la Muda kuteketea…

Soma Zaidi »

Kapinga, Londo mguu sawa kuimarisha viwanda, biashara

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, ameongoza watumishi wa wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo, huku…

Soma Zaidi »

Umeme Ruvuma; daraja la uchumi wa kujikimu hadi wa uzalishaji

RUVUMA ni mkoa uliowahi kupata changamoto kubwa ya ukosefu wa umeme wa uhakika. Saa za jioni zilipowadia, giza lilitanda mapema…

Soma Zaidi »

‘Tanga ya Viwanda’ yaanza kuonekana

SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa kuhakikisha inafufua viwanda mkoani Tanga ili kuongeza fursa za ajira kwa wananchi na kuongeza…

Soma Zaidi »

MABADILIKO CHANYA: Mfumo, mchakato unaopatikana katika familia

DESEMBA 2, 2025 wakati anahutubia Wazee wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla, Rais Samia Suluhu Hassan alisisitiza jukumu…

Soma Zaidi »

PPRA yawapa mafunzo wafanyabiashara Dar

DAR ES SALAAM; Wafanyabiashara wapatao 500 jijini Dar es Salaam wameshiriki mafunzo maalumu ya ununuzi wa umma yaliyoendeshwa na Mamlaka…

Soma Zaidi »

Manunuzi mahitaji ya shule yaboresha biashara Dar

DAR ES SALAAM;- ZIKIWA zimesalia siku mbili shule kufunguliwa na muhula mpya wa masomo kuanza, baadhi ya wazazi wameendelea kufanya…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Amani ndio nguzo ya uwekezaji

ZANZIBAR; RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kukua kwa uwekezaji nchini kumewezekana kutokana na uwepo wa amani na utulivu wa kisiasa,…

Soma Zaidi »

TSN, TISEZA kushirikiana kutangaza maeneo ya uwekezaji

DAR ES SALAAM; UJUMBE wa Menejimenti ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Asha Dachi,…

Soma Zaidi »

BOT: Uchumi Tanzania kukua 7.2%

UCHUMI wa Tanzania Bara unatarajiwa kukua kwa asilimia sita katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, huku uchumi wa Zanzibar…

Soma Zaidi »
Back to top button