Uwekezajia

WMA yasisitiza ukaguzi matumizi vipimo sahihi

WAKALA wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuendelea kufanya ukaguzi wa matumizi ya vipimo sahihi kwenye maeneo ya uzalishaji, maghala yanayouza bidhaa…

Soma Zaidi »

CMSA: Taasisi za kifedha zifuate miongozo ya uwekezaji

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana CMSA, imezitaka taasisi za kifedha zinazotoa huduma ya uwekezaji wa…

Soma Zaidi »

Ujenzi SGR Tanga-Arusha-Musoma wahojiwa bungeni

DODOMA; Mbunge wa Tanga Mjini, Kassim Mbaraka amehoji bungeni ni lini ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Bandari ya…

Soma Zaidi »

Vijana washauriwa kuwekeza soko la hisa

ARUSHA: Vijana wameshauriwa kuwekeza katika soko la hisa ili kujenga uchumi kupitia uwekezaji wa kidijitali na kujikwamua kiuchumi huku wakijiandaa…

Soma Zaidi »

Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania

London, Uingereza: Kampuni kubwa nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji…

Soma Zaidi »

UNDP yanogesha ujasiriamali kwa vijana Dar

DAR ES SALAAM; Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP), kupitia Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, limehitimisha…

Soma Zaidi »

Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050

DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo…

Soma Zaidi »

Ubomoaji Kikwajuni waanza kupisha mradi wa Infinity Hills

Zanzibar: Ubomoaji umeanza katika eneo la Kikwajuni lililotengwa kwa ajili ya mradi wa matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills, ikiwa ni…

Soma Zaidi »

Dk Samia azindua minara 758, Airtel juu

DODOMA: Rais Dk Samia Suluhu Hassan amezindua minara 758 ya mawasiliano nchini, ikiwa ni hatua kubwa ya kuharakisha mageuzi ya…

Soma Zaidi »

Uwekezaji waimarika Tanzania robo ya kwanza

DAR ES SALAAM: Hali ya uwekezaji nchini imeendelea kuimarika katika kipindi cha Januari hadi Machi 2026, ikichochewa na mazingira rafiki…

Soma Zaidi »
Back to top button