Uwekezajia

Wabunge wafagilia PSSSF, NSSF utekelezaji miradi

WABUNGE wamepongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii…

Soma Zaidi »

Safari bajeti za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ilitenga zaidi ya Sh trilioni 228 kwenye bajeti zake huku Sh trilioni 76.3 zikielekezwa…

Soma Zaidi »

Safari ya Tanzania Kuelekea Uchumi wa Kidijitali

Kutoka minara ya mawasiliano na Mkongo wa Taifa hadi ajira za mtandaoni, biashara za kidijitali na ubunifu wa vijana, Tanzania…

Soma Zaidi »

Sh Bil 200 na safari ya kutafuta Ajira, mitaji vijana mil.20

Je, ni namna gani uwekezaji wa Shilingi bilioni 200 unaweza kufungua ukurasa mpya wa ajira, ubunifu na ujasiriamali kwa mamilioni…

Soma Zaidi »

ZAIDI YA SARUJI NA LAMI

DAR ES SALAAM; SAA 12 alfajiri, wakati taa za magari bado zinang’aa katika baadhi ya mitaa ya Dar es Salaam…

Soma Zaidi »

Bosi Oryx asifu mazingira bora uwekezaji sekta ya nishati

DAR ES SALAAM; Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania, Iman Mtafya, amesema mazingira bora ya uwekezaji yanayofanywa na Serikali katika…

Soma Zaidi »

Trilioni 76 za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa akihitaji huduma ya CT Scan au matibabu ya kibingwa mara nyingi alilazimika kusafiri kilomita…

Soma Zaidi »

Kilimo kuongoza ajenda mabadiliko ya uchumi

DODOMA:Serikali imesema itatoa kipaumbele kwenye sekta ya kilimo katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, ikiitaja kuwa miongoni…

Soma Zaidi »

Kafulila asifu ziara ya Rais wa Singapore

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulil…

Soma Zaidi »

Kafulila kuongoza mhadhara sekta ya umma, binafsi

DODOMA: Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, David Kafulila, anatarajiwa kuwa na Mhadhara Maalum wa Umma Chuo Kikuu cha Dodoma kesho…

Soma Zaidi »
Back to top button