Habari Kwa Kina

Ushirikiano unahitajika kuokoa maisha ya watoto njiti

MTOTO njiti ni mtoto anayezaliwa kabla ya muda wa kawaida wa mjamzito kujifungua wa wiki 37 za ujauzito. Inakadiriwa watoto…

Soma Zaidi »

Madhara ya ukosefu wa amani kwa wanafunzi kitaaluma

JUZI gazeti hili liliandika makala chini ya kichwa cha habari: ‘Vijana Vyuoni na Tanzania Yenye Utajiri wa Amani’ yakieleza maoni…

Soma Zaidi »

Msitu wa Ngezi; thamani itakayoipaisha Pemba

PEMBA ni moja ya visiwa vikongwe vya Zanzibar kinachoishi chini ya kivuli cha kisiwa dada chenye harakati nyingi cha Unguja.…

Soma Zaidi »

Mabilioni biashara ya kaboni hatarini kutoweka

KATAVI; Licha ya vijiji vinane vya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kujiingizia zaidi ya Sh bilioni 29 kupitia uuzaji wa…

Soma Zaidi »

Huyu ndiye Mussa Zungu

KURA 378 kati ya kura 383 zilizopigwa zimempa ushindi Mbunge wa Ilala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa…

Soma Zaidi »

Kimiti: Vijana wasikilizwe, wawe suluhu

JAMII imehimizwa kujenga utamaduni wa kusikiliza vijana ili wajihisi ni sehemu ya viongozi katika kuchangia uamuzi kuhusu maendeleo ya nchi…

Soma Zaidi »

Mabadiliko tabianchi yaleta changamoto kilimo

WAKULIMA mikoa ya Dodoma, Singida, Morogoro na Manyara wanakumbwa na changamoto kubwa ya kuendeleza kilimo kutokana na athari za mabadiliko…

Soma Zaidi »

Ilani NCCR-Mageuzi, ACT Wazalendo, AAFP na ajenda ya kukuza uchumi

KAMPENI za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025 zinaendelea kwa kasi kwa vyama kunadi sera na ilani…

Soma Zaidi »

Shambulio la Israel latikisa Doha

USIKU wa Septemba 9, 2025, anga la Doha lilitetemeshwa na milipuko mikali iliyoambatana na moshi mzito, hali iliyobadilisha ghafla upepo…

Soma Zaidi »

Kalamu ya Mwandishi: Nyenzo muhimu ya amani uchaguzi mkuu

VYOMBO vya habari ni wadau muhimu katika uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.

Soma Zaidi »
Back to top button