Safari

ATCL yaongeza mapato

DODOMA: WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa Serikali imeongeza mapato kupitia Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), kufuatia…

Soma Zaidi »

‘Mwendokasi’ ukiimarika utachochea uchumi

MWAKA 1968 nilifika Dar es Salaam. Wakati huo, wakazi wa mji huo hawakuwa wengi kama ilivyo sasa. Wakati huo usafiri…

Soma Zaidi »

Bodaboda wakumbushwa kuvaa kofia ngumu

NJOMBE: WAENDESHA bodaboda wa Kijiwe cha Kanisa Katoliki Romani mkoani Njombe, wametakiwa kuvaa kofia ngumu (helmet) wao pamoja na abiria…

Soma Zaidi »

Mchengerwa: Wakurugenzi jengeni vituo vya bodaboda

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mohamed Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini…

Soma Zaidi »

Safari za Dubai kufungua vivutio vya utalii, Uwekezaji

DUBAI: KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL) imesema kuanzishwa kwa safari za Dubai ni utekelezaji wa mpango wake wa biashara ambao…

Soma Zaidi »

LATRA yatangaza ruti mpya 10 daladala Dar

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Usafiri wa Ardhini (LATRA) imetangaza ruti mpya 10 za daladala zitakazoanzia katika Kituo kipya cha…

Soma Zaidi »

Zingatia kuchimba dawa dakika 20 si 10

ARUSHA: MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), imeyataka mabasi ya usafirishaji mikoani kuzingatia muda wa kuchimba dawa kuwa ni…

Soma Zaidi »

ATCL kuanza safari Ulaya na Asia

TANGA: Kampuni ya ndege Tanzania ATCL inatarajia kuongeza masafa Kwa kuanza safari za ndege kwenye bara la Asia na Ulaya…

Soma Zaidi »

Ummy kushiriki kongamano la usalama barabarani

MTWARA: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu  anatarajiwa kushiriki katika kongamano la usalama barabarani ambalo litafanyika mkoani Mtwara Oktoba 13, mwaka…

Soma Zaidi »

Mabaharia Tanzania kutambulika zaidi kimataifa

SERIKALI kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), imeendelea na juhudi za kuwafungulia fursa mabaharia wa Tanzania kimataifa. Kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button