Africa

Mbeki ahimiza umoja Afrika

RAIS mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amewahimiza Waafrika kudumisha umoja na kuwaenzi waasisi wa harakati za ukombozi. Amesema hayo…

Soma Zaidi »

Waziri wa Sheria DRC kuhojiwa

WAZIRI wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Constant Mutamba, anakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya takriban…

Soma Zaidi »

Kabila aondolewa kinga ya kushtakiwa DRC

BARAZA la Seneti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) limemvua rasmi kinga ya kutoshitakiwa Rais wa zamani Joseph Kabila,…

Soma Zaidi »

Mbeki azuru eneo la Mazimbu Morogoro

RAIS wa Zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki ametembelea eneo la kihistoria la Mazimbu, lililoko mkoani Morogoro ikiwa ni katika…

Soma Zaidi »

Ponyo ahukumiwa kifungo kwa ufisadi

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Augustin Matata Ponyo, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela

Soma Zaidi »

EU kutoa Euro bilioni 4 kuisaidia Misri

UMOJA wa Ulaya (EU) umepanga kutoa mkopo wa Euro bilioni 4 kwa ajili ya kuisaidia Misri kukabiliana na changamoto za…

Soma Zaidi »

Kamil Idris ateuliwa Waziri Mkuu mpya Sudan

MKUU wa Jeshi la Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amemteua afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Kamil Idris, kuwa…

Soma Zaidi »

ICJ yaunga mkono Guinea ya Ikweta

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeamua kuunga mkono upande wa Guinea ya Ikweta katika mzozo wa muda mrefu na…

Soma Zaidi »

Wadau wakutana Nairobi kujadili changamoto za wakimbizi Afrika

"Wajasiriamali na jamii za wakimbizi tayari wana vipaji na ustahimilivu. Wanahitaji tu upatikanaji wa haki wa masoko na mitaji,"

Soma Zaidi »

Maafisa wa madini mbaroni Rwanda

KIGALI: MAAFISA watatu waandamizi wa Bodi ya Migodi, Petroli na Gesi nchini Rwanda na wafanyabiashara wanne wamekamatwa kwa tuhuma za…

Soma Zaidi »
Back to top button