Amerika

Makamu wa Rais wa Marekani awasili Islamabad

ISLAMABAD, Pakistan — Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amewasili jijini Islamabad, Pakistan, kuongoza mazungumzo muhimu ya kusitisha vita…

Soma Zaidi »

Israel yakataa kujadili sitisho la vita na Hezbollah

WASHINGTON, Marekani — Israel imesema haitajadili sitisho la vita na kundi la Hezbollah wakati wa mazungumzo na maafisa wa Lebanon…

Soma Zaidi »

Wanaanga Artemis II watua salama kutoka mwezini

MAREKANI — Wanaanga wanne wa ujumbe wa Artemis II wametua salama katika Bahari ya Pasifiki baada ya kukamilisha safari ya…

Soma Zaidi »

Iran, Israel zazidisha mashambulizi ya makombora

MAPIGANO kati ya Iran na Israel yameendelea huku pande hizo zikishambuliana kwa makombora na droni.

Soma Zaidi »

Diddy aomba rufaa kupinga kifungo

MSANII maarufu wa muziki wa rap, Sean “Diddy” Combs, ameomba Mahakama ya Rufaa ya Marekani imwachilie huru na kutengua hukumu…

Soma Zaidi »

FDA yaidhinisha kidonge Wegovy kupunguza uzito

MAMLAKA ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha matumizi ya toleo la vidonge vya dawa ya kupunguza uzito ya…

Soma Zaidi »

Trump aahidi kuboresha uchumi 2026

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa leo Alhamisi, akieleza mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko ilivyokuwa…

Soma Zaidi »

Musk avunja rekodi ya utajiri duniani

NEW YORK, Marekani : MKURUGENZI Mtendaji wa Tesla, Elon Musk, amekuwa mtu wa kwanza duniani kufikia thamani ya utajiri wa…

Soma Zaidi »

James Comey afunguliwa mashtaka

WASHINGTON, Marekani: ALIYEKUWA  mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi la FBI, James Comey, ameshtakiwa kwa tuhuma za kutoa taarifa zisizo sahihi…

Soma Zaidi »

Marekani yadhibiti sheria za TikTok

WASHINGTON DC : SERIKALI ya Marekani imetangaza kuwa makampuni ya Marekani yatadhibiti mchakato wa kanuni za kompyuta (algorithm) za TikTok…

Soma Zaidi »
Back to top button