Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ujenzi bomba la mafuta waingia hatua muhimu

UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku kampuni…

Soma Zaidi »

Tanzania, Ghana kushirikiana kuwainua wataalam wa wanajiolojia

ACCRA:  Viongozi wa Chama cha Wanajiolojia Tanzania (TGS) na Taasisi ya Wanasayansi wa Jiolojia kutoka Ghana (GhIG) wamekutana na kufanya…

Soma Zaidi »

Ushiriki wa wazawa waimarika sekta ya gesi asilia

DODOMA:Jitihada za Serikali za kuwawezesha Watanzania kushiriki katika shughuli za kiuchumi zimeendelea kuzaa matunda katika sekta ya gesi asilia, huku…

Soma Zaidi »

Wapewa elimu mafuta, gesi asilia Tamasha la Utamaduni

MOROGORO; Wananchi mbalimbali wamejitokeza kwenye banda la Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) na kupewa elimu juu…

Soma Zaidi »

Tume ya Madini yatoa hati za makosa kwa miradi 42

DODOMA: Tume ya Madini imewaonya wamiliki wa miradi ya uchimbaji mdogo wa madini yenye Mikataba ya Msaada wa Kiufundi (TSA)…

Soma Zaidi »

TIB kuongeza ufadhili nishati safi vijijini

BENKI ya Maendeleo ya TIB imeahidi kuongeza juhudi katika kusaidia upatikanaji wa nishati safi ya kupikia katika maeneo ya vijijini…

Soma Zaidi »

Kituo cha mafuta EACOP kukamilika Septemba

KAGERA: Ujenzi wa Kituo cha Kusukuma Mafuta Ghafi Namba Tatu (PS3) cha Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika…

Soma Zaidi »

Wanawake, vijana wapewa kipaumbele sekta ya madini

DODOMA: Serikali imefungua fursa za biashara kwa Watanzania katika migodi, huku vijana na wanawake wakipewa kipaumbele ili kuongeza ushiriki wao…

Soma Zaidi »

Tume ya Madini yaimarisha ukaguzi migodi

DODOMA: Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama…

Soma Zaidi »

Madini ya Sh Bil 1.3 yakamatwa Dar yakitoroshwa

DAR ES SALAAM; Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema serikali itaendelea kuchukua hatua kali dhidi ya wanaojihusisha na utoroshaji wa…

Soma Zaidi »
Back to top button