Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wiki ya Nishati yaanza Dodoma

DODOMA: Maonesho ya Wiki ya Nishati yanayohusisha Wizara ya Nishati na taasisi zake yameanza katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma…

Soma Zaidi »

Miradi ya gesi Mtwara yaikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi

DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia…

Soma Zaidi »

TASAC yajadili mabadiliko bei ya mafuta

KAGERA: Mabadiliko ya bei elekezi ya mafuta iliyoanza kutumika Aprili Mosi mwaka huu yamepelekea Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania…

Soma Zaidi »

Kampuni ya mafuta yafurahishwa mfumo ulipaji kodi

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Uingizaji na Usambazaji wa mafuta Jamii ya Petrol nchini ya ‘MOIL Energies’ imesema imefurahishwa kwa…

Soma Zaidi »

TPSF yandaa andiko athari bei za mafuta

DAR ES SALAAM: Shirikisho la sekta binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa andiko la kisera pamoja na mapendekezo yanayolenga kukabiliana na athari…

Soma Zaidi »

Serikali yaahidi suluhisho kupanda mafuta

KUPANDA kwa bei ya mafuta nchini kumesababisha ongezeko la nauli za usafiri mkoani Kilimanjaro, hali ilivyowaathiri abiria na watoa huduma…

Soma Zaidi »

Serikali yathibitisha hakuna vifo mgodi uliotitia Geita

JESHI la Polisi mkoani Geita limethibitisha kuwa hakuna madhara ya binadamu yaliyotokana na ajali ya kutitia kwa maduara manne ya…

Soma Zaidi »

Utaratibu mpya TRA waharakisha usambazaji mafuta

DAR ES SALAAM: Utaratibu mpya wa kutoa mafuta kwenye vituo vya kuhifadhia mafuta ya dizeli na petroli kwenda sokoni uliowekwa…

Soma Zaidi »

Serikali yaeleza hali ya upatikanaji mafuta

DAR ES SALAAM: Serikali imeeleza kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta nchini bado ni shwari, huku bei zikiwa himilivu, ambapo…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara marufuku kupandisha mafuta

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia James Mataragio leo amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala…

Soma Zaidi »
Back to top button