Bunge

Mafanikio Serengeti Boys yatinga bungeni

DODOMA; MBUNGE wa Bunda Mjini, Amos Bulaya muda huu anawasilisha hoja bungeni kuhusu Azimio la Bunge kuipongeza timu ya Taifa…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji serikali inatoa elimu bure au elimu bila ada

DODOMA;Mbunge wa Tarime Mjini, Mwita Waitara, ameuliza bungeni kama serikali inatoa elimu bure au inatoa elimu bila ada. Akijibu swali…

Soma Zaidi »

Wabunge walia uvamizi maeneo ya wazi, michezo

DODOMA; Wabunge wameishauri serikali kuweka mikakati ya kurejesha maeneo yote ya wazi yaliyovamiwa na kuhakikisha kuwa inasimamia kikamilifu utengaji na…

Soma Zaidi »

Migogoro ya ardhi 5,573 yatatuliwa

DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, amesema hadi Mei 15, 2026, jumla ya migogoro…

Soma Zaidi »

‘Lipeni kodi ya ardhi kuepuka kuepuka kufutiwa umiliki’

DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, ametoa rai kwa wamiliki wote wa ardhi nchini…

Soma Zaidi »

Wizara yajivunia taswira, heshima ya Tanzania kimataifa

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kufuatia utekelezaji wa vipaumbele vya wizara na kwa…

Soma Zaidi »

‘Msimamo wa Tanzania ni kutofungamana na upande wowote’

DODOMA; WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema  Tanzania inaendelea kudumisha misingi…

Soma Zaidi »

Wizara yasifu hali ya amani, utulivu

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imesema Tanznaia imeendelea kuwa na hali ya amani na utulivu kutokana na…

Soma Zaidi »

Watu 1,066 wamepoteza maisha ajali 2025/26

DODOMA; SERIKALI imesema watu 1,066 walipoteza maisha kutokana na matukio ya ajali za barabarani kuanzia Julai 2025 hadi Aprili 2026,…

Soma Zaidi »

NIDA kuanza kusajili watoto

DODOMA; MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inatarajia kuanza kufanya usajili wa watoto kuanzia umri wa kuzaliwa, ili kutoa namba…

Soma Zaidi »
Back to top button