Bunge

Bunge kuvunjwa rasmi Agosti 3

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Bunge la 12 litavunjwa rasmi Agosti 03, kufuatia kukamilika kwa kipindi chake…

Soma Zaidi »

ATCL kuongeza safari, kujiendesha kwa tija

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) litapanua wigo wa safari zake za kimataifa…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Dk Tulia haujatuangusha wanawake

DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, amempongeza Spika wa Bunge la la Tanzania na Rais wa Umoja wa…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Tumeboresha bajeti ya Mahakama

DODOMA :RAIS  wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeboresha bajeti ya mahakama kutoka Sh bilioni 162.2 kwa mwaka…

Soma Zaidi »

Rais Samia awakumbuka JPM, Mwinyi, Lowassa

DODOMA; Rais Samia Suluhu Hassan, leo Juni 27, 2025, ameongoza taifa katika kutoa heshima kwa viongozi wakuu na wabunge waliotangulia…

Soma Zaidi »

Samia: Uhuru wa maoni umeongezeka Tanzania

DODOMA :RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan amesema uhuru wa habari na watu kutoa maoni yao umeongezeka tofauti na…

Soma Zaidi »

Rais Samia alivyokagua gwaride maalumu bungeni

DODOMA; DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika Viwanja vya Bunge na kukagua gwaride maalum kabla ya…

Soma Zaidi »

Gwaride maalumu kuhitimisha Bunge

DODOMA; Gwaride Maalumu la kuhitimisha Shughuli za Bunge la 12 la Tanzania likiwa tayari kumpokea Rais wa Tanzania na Amiri…

Soma Zaidi »

Ulinzi waimarishwa bungeni

DODOMA : Serikali imeongeza hatua za kiusalama na kuimarisha ulinzi katika maeneo muhimu ya Bunge, barabara kuu wakati Rais Samia…

Soma Zaidi »

Majaliwa alipongeza bunge kupitisha bajeti

DODOMA — Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepongeza wabunge kwa kupitisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2025/2026 kwa asilimia 98.7, akisema…

Soma Zaidi »
Back to top button