Tanzania

Bodi ya usajili ya uchukuzi njiani kuanzishwa

DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itachukua hatua za kuimarisha taaluma ya uchukuzi nchini, ikiwemo kuharakisha…

Soma Zaidi »

TISEZA, TLS–AYL kuboresha huduma za kisheria wawekezaji

DAR ES SALAAM; Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imesaini makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu…

Soma Zaidi »

Shule ya Msingi Mwananyamala B yakabidhiwa madawati

Klabu ya Rotary imekabidhi madawati 150 kwa Shule ya Msingi Mwananyamala B, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya…

Soma Zaidi »

RC Kheri atangaza vita dhidi ya utapiamlo Iringa

IRINGA: MKOA wa Iringa umeingia katika hatua nyingine ya mapambano dhidi ya utapiamlo na lishe duni baada ya Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Mbinga yaanza ukarabati barabara

RUVUMA: MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Joseph Kashushura, ametangaza mpango wa kurekebisha na kuimarisha miundombinu ya barabara, akilenga…

Soma Zaidi »

Kituo kipya cha mabasi kumaliza msongamano Arusha

ARUSHA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amesema kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa Kituo cha Mabasi Mkoa wa…

Soma Zaidi »

Tandahima yarejesha makato ya Sh 20 kilo ya korosho

MTWARA: BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, limedhamiria kurudisha tena makato ya Sh 20 kwa…

Soma Zaidi »

Mkasiwa: Wanawake wanaweza kuongoza

WAKATI wengi wakiamini nafasi ya utemi ni ya wanaume pekee, Mkoa wa Tabora unaendelea kuhifadhi historia ya kipekee kupitia Mtemi…

Soma Zaidi »

Boti yapinduka Ziwa Nyasa, Wakaa majini saa 6 kuokolewa

WATU saba wakiwemo raia wanne wa Uholanzi, wamenusurika kufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Bandari ya Mbamba Bay,…

Soma Zaidi »

Kihenzile: watumishi wazembe ATCL wachukuliwe hatua

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kuwachukulia…

Soma Zaidi »
Back to top button