Tanzania

Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo

Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika…

Soma Zaidi »

‘Drone’ kutumika kudhibiti tembo Bariadi Vijijini

SIMIYU: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuwa serikali itapeleka ndege nyuki (Drone) kwa ajili ya kufukuza Tembo ambao wamekuwa changamoto…

Soma Zaidi »

Wadau wataka mazungumzo kumaliza migogoro ya dunia

DAR ES SALAAM: WADAU wa masuala ya amani na viongozi wa dini wameguswa na kile kinachoendelea kati ya Iran, Marekani…

Soma Zaidi »

Tanesco yapewa siku 7 kufikisha umeme bweni la Shishiyu

SIMIYU: KATIBU wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametoa siku saba kwa Shirika la…

Soma Zaidi »

Taasisi ya Mariam Mwinyi inavyobadilisha maisha Zanzibar

WAKATI wa maji kupwa katika ufukwe wa Zanzibar, wanawake huingia taratibu ndani ya maji ya joto ya Bahari ya Hindi,…

Soma Zaidi »

TAHEA yahamasisha jamii Iringa kupinga ukatili wa kijinsia

IRINGA: Wakati jitihada za kupinga ukatili wa kijinsia zikiendelea nchini, wadau wa maendeleo wanaendelea kuhamasisha jamii kuongeza uelewa na kuchukua…

Soma Zaidi »

Dar yaomba bajeti Sh bil 992 miradi, mishahara

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mkoa huo unaomba kuidhinishiwa bajeti ya mwaka…

Soma Zaidi »

Ujenzi waiva kituo cha polisi Mchinga

LINDI: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema Serikali itaanza ujenzi wa kituo kipya cha…

Soma Zaidi »

Shinyanya kuwa kitovu uchumi kanda ya ziwa

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuhakikisha Mkoa wa Shinyanga unakuwa kitovu…

Soma Zaidi »

Masauni atoa maagizo matano bodi ya NCMC

DAR ES SALAAM: Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa maagizo…

Soma Zaidi »
Back to top button