Tanzania

RC Iringa azindua wiki ya utafiti na bunifu

IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii iliyoandaliwa na…

Soma Zaidi »

Wizara ya Kilimo, taasisi zashiriki maonesho Siku ya Mazingira Duniani

DODOMA: Wizara ya Kilimo pamoja na taasisi zake zimeendelea kushiriki Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyoanza jijini Dodoma mnamo…

Soma Zaidi »

Kihongosi asisitiza umakini mapokezi ya wageni

MANYARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Wilaya…

Soma Zaidi »

Mafanikio ya mradi wa Pamba na Kazi Bora yaonekana

DAR ES SALAAM: MRADI wa Pamba na Kazi Bora unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali za Tanzania na Brazil umeendelea…

Soma Zaidi »

Mradi wa ‘Wezesha Wasichana’ awamu ya pili wazinduliwa

MAFIA: Awamu ya Pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana  Tabasamu Mpaka Mwisho” uliofadhiliwa na  C-Weed Mwani, CEAMSA na  Cargill, uliozinduliwa…

Soma Zaidi »

Sekta Binafsi kichocheo utekelezaji Dira 2050

ARUSHA: SERIKALI imesema kuwa zaidi ya asilimia 70 ya fedha zinazohitajika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 zinatarajiwa kutoka…

Soma Zaidi »

Hanang yafikia 97% upatikanaji maji

MANYARA: Upatikanaji wa Maji katika Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara sasa umefikia asilimia 97, huku zaidi ya wananchi 35,000 wilayani…

Soma Zaidi »

Wanne wafa, 29 wajeruhiwa ajali ya basi Mbeya

MBEYA: Watu wanne wamefariki na wengine 29 kujeruhiwa kufuatia ajali ya basi la abiria iliyotokea mkoani Mbeya baada ya gari…

Soma Zaidi »

Tume yaundwa kuchunguza uvunjaji wa nyumba Kigombe

TANGA: Uongozi wa Mkoa wa Tanga umeunda timu maalumu kwa ajili ya kufuatilia kwa kina tukio la ubomoaji wa nyumba…

Soma Zaidi »

Muungano wa bodi kuleta mageuzi sekta ya mifugo

IRINGA: Serikali imetangaza mpango wa kuunganisha Bodi ya Maziwa na Bodi ya Mifugo ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa sekta…

Soma Zaidi »
Back to top button