Tanzania

Wakazi wa kijiji cha Shilela wanufaika na mradi mpya wa maji

SHINYANGA: WANANCHI 1,250 wa kijiji cha Shilela Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameanza kunufaika kwa mradi wa maji…

Soma Zaidi »

Ujenzi wa madarasa Sekondari Segese wazidi kuimarisha elimu

SHINYANGA: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameipongeza Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa…

Soma Zaidi »

TAKUKURU Arusha yamnasa raia wa Romania kwa wizi wa fedha

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Arusha imemkamata na kumweka rumande raia wa Romania, Constantin Podoleanu…

Soma Zaidi »

Tanzania kuandika historia mpya uzalishaji umeme

PWANI: WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema uzinduzi wa mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ni hatua muhimu katika…

Soma Zaidi »

Mradi mpya kupunguza msongamano bandari ya Dar

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema eneo la Kurasi Logistics Park linatarajiwa kuanza kutumika kama sehemu…

Soma Zaidi »

Mbegu bora, chachu ya kilimo cha ushindani

IRINGA: Wakulima mkoani Iringa wametakiwa kuanza maandalizi ya msimu mwingine wa kilimo kwa kuchagua na kutumia mbegu bora, zilizoidhinishwa na…

Soma Zaidi »

Mwenge wazindua madarasa Kagongwa

SHINYANGA: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi la jengo la vyumba vitatu…

Soma Zaidi »

Vikundi vya michezo kunufaika mikopo asilima 10

MOROGORO: MBUNGE wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro, Sara Msafiri, amevitaka vikundi ambavyo vitashiriki kwenye tamasha la michezo kwenye jimbo…

Soma Zaidi »

Kamati yapongeza polisi kuimarisha usalama

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Jeshi…

Soma Zaidi »

Vijana wasisitize kwa na maono ya maisha

SHINYANGA: VIJANA wametakiwa kuwa na maono ya maisha na kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa za maendeleo badala ya kutumia…

Soma Zaidi »
Back to top button