Dodoma

Serikali yawekeza trilioni 6 barabara,madaraja

SERIKALI imeongeza kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya barabara na madaraja nchini, ikiwekeza zaidi ya Shilingi trilioni 6 katika miradi…

Soma Zaidi »

VETA, vituo vya malezi kushirikiana kutoa ujuzi

DODOMA: MKURUGENZI wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore amesema mamlaka itaendelea kushirikiana na vituo…

Soma Zaidi »

Homera aja na ‘Sema na Waziri’, asisitiza Katiba kipaumbele

DODOMA: WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Juma Homera amezindua programu ya Sema na Waziri huku akisisitiza kuwa suala la Katiba…

Soma Zaidi »

Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo

Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika…

Soma Zaidi »

Mwigulu awaonya watumishi wazembe

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameonya watumishi wezi na wazembe. Dk Mwigulu alitoa onyo hilo aliposimama kusikiliza kero za wafanyabiashara…

Soma Zaidi »

Mapinduzi sekta makazi mradi wa dola mil 250 ukizinduliwa Zanzibar

Zanzibar: Kampuni ya Infinity Developments imezindua rasmi mradi wa makazi na matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills katika eneo la Kikwajuni, Stone…

Soma Zaidi »

Ada vyombo vya habari mtandaoni yapunguzwa

DODOMA: SERIKALI  kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza kwa kiwango kikubwa ada za usajili wa vyombo vya habari mtandaoni,…

Soma Zaidi »

Mhandisi Masauni amjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu Pinda

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo…

Soma Zaidi »

Kambi ya magonjwa yasiyoambukiza yazinduliwa Zanzibar

ZANZIBAR: Mkurugenzi Idara ya Tiba ya Zanzibar Dk Msafiri Marijani akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kambi ya Huduma za…

Soma Zaidi »

Balozi Luhemeja amkabidhi ofisi Dk Muyungi

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk Richarid Muyungi amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button