CCM yataka viwanda vya pamba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesudia kuzungumza na Serikali Kuu kuona namna ya kujenga viwanda vya ndani vya kuchakata zao la pamba ili kunusuru uhai wa bei ya zao hilo.
CCM imefikia hatua hiyo kufuatia malalamiko ya wakulima wa zao hilo wilayani Itilima mkoani Simiyu kuhoji juu ya zao hilo kutokuwa na bei elekezi jambo linalosababisha kila msimu kuuza kwa bei ya chini na hata wakiuza malipo wanalipwa nusunusu.
Mkulima Ndula Masuke akizungumza katika mkutano huo amesema ameacha kulima zao hilo kwa kuwa limemfilisi hata wanawake wamemkimbia hana hela, na pia hata pembejeo za zao hilo ni changamoto.
Amesema dawa wanazopelekewa kwa ajili ya zao la pamba zipo chini ya kiwango kwani wanapulizia ndani ya muda mfupi magonjwa kama funza wanaendelea kushambulia.
Hoja iliyoungwa mkono mkulima, Sagataย John na kudai kama bei elekezi inasimamiwa na serikali au chama inakuwaje elimu inashindwa kutolewa muelekeo wa bei na kuacha wakulima wakiendelea kutaabika?
“Serikali imekuwa kimya na chama chake hawataki kuja kutoa elimu bei imeshuka na tunapaswa kufanya Nini? Wametusaliti tukipambana na madalali kila kukicha na hakuna wakutusaidia.” alihoji
Sagata amesema licha ya kuwa mkulima wa pamba lakini anajihusisha na uchimbaji wa madini na wanapokuwa kwenye shughuli hizo kuna kuwa na bei elekezi na wanapokwenda kuuza wanaangalia kwenye mtandao soko la dunia linasemaje?
“Kwanini bei ya pamba haijawekwa kwenye mfumo wa kidigitali Ili mkulima anapoenda kuuza awe anajua kilo mojaย inauzwa kiasi fulani kuwarahisishia wakulima wanapoenda kuuza wawe wanajua ili wasiendelee kujibiwa,
Akijibu maswali hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Laini Wilaya ya Itilima, Makamu Mwenyekiti wa (CCM)Tanzania Bara, Abdurlhaman Kinana amesema changamoto hiyo inapaswa kutatuliwa na Serikali Kuu na kwamba atalifikisha.
“Jambo hili si la kwenu wakulima isipokuwa ni la Serikali Kuu na mimi nalichukua kwenda kuonana na wakubwa kuwaambia wakulima wanalima bei inashuka kwa sababu hakuna viwanda nchini,โ
“Serikali Kuu inapaswa kujitahidi kujenga viwanda vya kuchakata zao la pamba ikiwemo kutengeneza nyuzi na nguo ili wakulima wasitegemeeย sokoย la nje ya nchiย pekeeย katika kuuza.
Amesema, kuendelea kupeleka pamba kwenye soko la nje ya nchi kuwauzia wakubwa ni waziย bei ya zao hilo itaendelea kuwa ya chini kwa kuwa wao wanapanga wanunue malighafi hiyo kwa beiย chini.
“Jibu lingine la bei nzuri ya zao hili kila mkulima anatakiwa kulima kilimo cha kisasa mfano nimeona Singida kuna mkulima mmoja anapata kilo 1000 wakati Mkuu wa Mkoa wa Simiyu aliyelima baridia heka moja alipata kilo 500.
“Wewe unayelima hapa kwa utaratibu wako heka moja unapata kilo 150 hamuwezi kufanana kimapato, sasa ni kazi ya serikali kuwaleta wataalamu wawafundishe wananchi walime kilimo cha kisasa,” amesema.
Amesemaย kutoka na changamoto hiyo anakusudia kuonana na Waziri wa Kilimo kuongea naye kuhusu kusuasua kwa malipo ya zao hilo kila baada ya kuuza zao hilo.
Amesema kendelea kulipwa nusunusu kila wanapouza pamba ni kwamba zao hilo linakosa thamani na kuendelea kuwasumbua wakulima wanaotumia gharama kubwa katika uendeshaji.
Mkurugenzi Mkuuย wa Bodi ya Pamba, Marko Mtunga amesema asilimia 80 ya zao hilo inayozalishwa nchini inapelekwa nje ya nchi ndiyo maana hakuna bei elekezi inayojulikana.
Amesema mwaka huu wa fedha serikali imeanzishwa mfuko wa kilimo wa kunusuru bei za mazao japo itachukua muda kuwa na uwezo lakini moja ya kazi yake ni kudhibiti soko na kuwafanya wakulima kuwa na uhakika.
“Mfano bei ya soko ni 1,200 lakini ikaporomoka na kuwa sh 1,000 mfuko unajazia sh 200 ili kunusuru wakulima kuuza bei ya hasara.” Amesema
Presently Youโll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface_____ https://Fastinccome.blogspot.Com/
๐๐ซ๐๐๐ญ ๐๐ซ๐ญ๐ข๐๐ฅ๐, ๐๐ข๐ค๐. ๐ ๐๐ฉ๐ฉ๐ซ๐๐๐ข๐๐ญ๐ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐ฐ๐จ๐ซ๐ค, ๐ข’๐ฆ ๐ง๐จ๐ฐ ๐๐ซ๐๐๐ญ๐ข๐ง๐ ๐จ๐ฏ๐๐ซ $๐๐๐๐๐ ๐๐จ๐ฅ๐ฅ๐๐ซ๐ฌ ๐๐๐๐ก ๐ฆ๐จ๐ง๐ญ๐ก ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ฅ๐ฒ ๐๐ฒ ๐๐จ๐ข๐ง๐ ๐ ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ฅ๐ ๐ฃ๐จ๐ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐! ๐ข ๐๐จ ๐ค๐ง๐จ๐ฐ ๐๐จ๐ฎ ๐๐ฎ๐ซ๐ซ๐๐ง๐ญ๐ฅ๐ฒ ๐ฆ๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐ ๐ฅ๐จ๐ญ ๐จ๐ ๐ ๐ซ๐๐๐ง๐๐๐๐ค๐ฌ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐ซ๐จ๐ฆ $๐๐๐๐๐ ๐๐จ๐ฅ๐ฅ๐๐ซ๐ฌ, ๐ข๐ญ๐ฌ ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ฅ๐ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐จ๐ฉ๐๐ซ๐๐ญ๐ข๐ง๐ ๐ฃ๐จ๐๐ฌ.
.
.
๐๐๐๐ ๐ผ๐ฝ๐ฒ๐ป ๐๐ต๐ฒ ๐น๐ถ๐ป๐ธโโโ> https://newjobshiring.blogspot.com/
My most recent pay test was $9,500 for 12 hours of internet labor each week. For months, my friend has been averaging 15,000 and working roughly 20 hours each week. I couldn’t believe how simple it got once I tried it.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com