CCM yaweka ukomo ubunge, udiwani Viti Maalumu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka ukomo wa ubunge na udiwani wa Viti Maalumu. Taarifa ya Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) Oganaizesheni, Issa Haji Ussi imeeleza kuwa uamuzi huo umefanywa na kikao maalumu cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Ussi alieleza kuwa CCM imeweka ukomo wa … Continue reading CCM yaweka ukomo ubunge, udiwani Viti Maalumu
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed