DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema mafuta yapo ya kutosha katika mkoa huo.
–
Chalamila amelazimika kutoa ufafanuzi huo mbele ya Waziri Mkuu na Naibu waziri Mkuu katika Kongamano la Nishati ambalo linafanyika Dar es Salaam.
–
Kwa mujibu wa Chalamila kuna minong’ono inayosambaa kuhusu kukosekana kwa Nishati hiyo jijini Dar es Salaam na amewataka watumiaji wa nishati hiyo kupuuza taarifa hizo.
–
Home Chalamila: Dar hakuna uhaba wa mafuta
Comments are closed.