Chalamila: Dar hakuna uhaba wa mafuta

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema mafuta yapo ya kutosha katika mkoa huo.

Chalamila amelazimika kutoa ufafanuzi huo mbele ya Waziri Mkuu na Naibu waziri Mkuu katika Kongamano la Nishati ambalo linafanyika  Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Chalamila kuna minong’ono inayosambaa kuhusu kukosekana kwa Nishati hiyo jijini Dar es Salaam na amewataka watumiaji wa nishati hiyo kupuuza taarifa hizo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
UMASIKINI
UMASIKINI
2 months ago

Balozi wa Canada anatafuta vijana 6,500,000 kwa ajili ya kuandaa KIJIJI cha UJAMAA nchini Canada (KYLE XY).. Kama umesoma kuanzia level ya form six HADI PHD

Capture-1695199354.9581-221x300.jpg
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x