Chelsea inauza tu, Ziyech huyo Saudia

CHELSEA inaendelea kupangua kikosi chao baada ya taarifa kuwa kiungo Hakim Ziyech anakaribia kujiunga na Al Nassr ya Saudia Arabia anayochezea Cristiano Ronaldo.
Taarifa zinaeleza makubaliano binafsi kati ya Ziyech na Al Nassr yameafikiwa kama mipango ikienda ilivyopangwa Ziyech atasaini mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2026.
Taarifa ya Fabrizio Romano imesema Chelsea pia wamekubali kumuuza mchezaji huyo kwenda Uarabuni.
24 Feb 2020 Ziyech alijiunga na Chelsea akitokea Ajax ya Uholanzi na kusaini mkataba wa miaka mitano hivyo hadi sasa imebaki miaka miwili.
Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
…
Just Open This Website………>>> http://www.Richcash1.com