Chongolo: Kuuza ardhi ni kujitia umasikini

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Daniel Chongolo ametoa wito kwa wananchi wa Bahi na wanaozunguka miundombinu ya umwagiliaji kutouza maeneo yao.
Chongolo ametoa rai hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Bahi.
“Pale serikali inapoboresha fedha za kuboresha miundombinu ya skimu za umwagiliaji wajanja wanaotafuta fursa wengi watakimbilia hapa kutafuta maeneo, acheni kuuza maeneo ya mashamba yenu.
“Yamilikini endeleeni kuyasimamia mtu akitaka kulima mkodishe alime akupe chako mwaka unaofuata ulime mwenyewe. Kuuza ardhi ni kujitia umasikini,” amesema.
**Makes $140 to $180 per day online work and i received $16894 in one month online acting from home.I am a daily student and work simply one to a pair of hours in my spare time.Everybody will do that job and online makes extra cash by simply…open this site…….———–> http://Www.Easywork7.com
Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
…
Just Open This Website………>>> http://www.Richcash1.com