Daladala, bajaji marufuku kuweka sime, panga

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amepiga marufuku kwa vyombo vya usafiri daladala na bajaji kuwa na silaha kama sime au mapanga na endapo vyombo hivyo vikikutwa na silaha hizo vitafutiwa leseni za usafirishaji.
Mongella ametoa agizo hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na madereva wa daladala na wamiliki wa vyombo hivyo kwa ajili ya kupata suluhu na kuongeza kuwa kesho atakutana na madereva wa bajaji, kisha Ijumaa watakaa kwa pamoja kupata suluhu ya changamoto zao.
Alihoji kwa nini silaha ziwepo katika magari na kama ikitokea kutoelewana na silaha inaonekana inaweza kusababisha matatizo, hivyo kuonya kwamba kusitokee upande wowote kuupiga mwingine kwani hatua zitachukuliwa.
“Daladala wan ahoja zao na bajaji wana hoja zao, lazima niwasilikize nijue wapi pa kuanzia, angalieni mgomo wa juzi watu wazima wanapanda Kirikuu na wanafunzi wanatembea inasikitisha, ofisi yangu haina mipaka unajua mimi ni baba siwezi kutembea na viboko kila mahali, lakini nawaambia suala la migomo halileti afya hapa Arusha,” amesema.
I currently make about 6000-8000 dollars /month for freelancing I do from my home. For those of you who are ready to complete easy online jobs for 2-5 h every day from the comfort of your home and make a solid profit at the same time
.
.
Try this work______ https://fastinccome.blogspot.com/
Home cash earning job to earns more than $500 per day. getting paid weekly morethan $3.5k or more simply doing easy work online. no special skills requiredfor this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this byfollow details here.
.
.
Here►—————————➤ https://creatework.pages.dev/