Dawasa yapewa heko maendeleo ya miradi

DAR ES SALAAM; KAMATI ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imeridhishwa na mwenendo wa miradi mbalimbali ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ikiwemo kuanzishwa kwa mradi wa maji taka ambao unagharimu zaidi ya Sh bilioni 128 ambao utakuja kuwa chanzo cha umeme.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo Sangu akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea utekelezaji wa miradi ya maji jijini Dar es Salaam amesema maendeleo ya mradi huo yanaridhisha na imani yao ni kwamba mradi huo utakwenda kurahisisha upatikanaji wa huduma za umeme.
Aidha, Sangu amesema kamati itaendelea kuwapa ushirikano Dawasa ili maji yasiwe kikwazo kwenye uzalishaji wa viwanda katika kuchochea pato la taifa na ajira kwa ujumla.
Kamati ya Bunge inaendelea na ziara katika miradi mbalimbali na kukagua maendeleo yake.
Money
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com
Money
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com