MKUU wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya hiyo kuhakikisha anakaa karibu na wakulima kupitia vyama vya ushirika (AMCOS) pamoja na Afisa ushirika ili kujua changamoto zinazo wakabili wakulima.
Ametoa maagizo hayo katika Mkutano Mkuu wa wakulima wa Tumbaku uliofanyika Kijiji cha Ifukutwa Kata ya Mpanda Ndogo wilayani humo,baada ya wakulima kuwasilisha malalamiko yao kuwa wapo baadhi ya mawakala ambao wanakataa kuwauzia mbolea aina ya NPK.
“Msamahazaji wa mbolea ambaye anafahamu utaratibu halafu anakataa kuuza NPK, kwa hakika serikali itachukua hatua kali kwake”amesema na kuongeza
“Taarifa ikitufikia usiku tunafanya kazi usiku huo huo,zikifika asubuhi tunafanya kazi asubuhi hiyo hiyo, hatuchelewi kwenye suala la kilimo kwa sababu kilimo ndiyo uchumi wa nchi yetu”
Hatua hiyo imemlazimu kutoa mawasiliano yake ya simu ya mkononi kwa wakulima hao ili waweze kumfikishia malalamiko yao moja kwa moja kuhusu changamoto wanazokumbana nazo za upatikanaji wa mbolea.
Hata hivyo,aliwataka wakulima wapatao elfu sitini walio salia kujiandikisha kwenye mfumo wa upataji mbolea ya ruzuku kujitokeza ili waweze kupata mbolea hiyo badala ya kulalamika.
Kwa upamde wake Mrajisi Msaidizi wa vyama vya msingi Mkoa wa Katavi Peter Nyakunga aliwaonya wanachama au viongozi wa vyama vya msingi wanao vuruga vyama lengo vivunjike na kisha waanzishe vyama vyao kwa tamaa za madaraka.
Awali, baadhi ya wakulima walilalamika kutofikiwa na pembejeo maeneo ya vijijini huku akihoji uwepo wa mbolea ya NPK kwenye ruzuku.
736692 89079There is clearly a lot to know about this. I think you made various good points in features also. 377142
661722 257569I discovered your blog website internet site on the search engines and check several of your early posts. Always preserve up the extremely good operate. I lately additional increase Rss to my MSN News Reader. Seeking for toward reading a lot far more on your part later on! 183913
815336 360223An fascinating discussion might be worth comment. I think you need to write on this topic, it might definitely be a taboo topic but usually people are not enough to dicuss on such topics. To a higher. Cheers 353122
513160 62705Id always want to be update on new blog posts on this internet internet site , bookmarked ! . 4926
186769 599381You ought to get involved in a contest personally with the finest blogs on-line. I will recommend this page! 994862
383700 309358Excellent web site. Plenty of helpful info here. 146398
555156 461487 An fascinating discussion is worth comment. I think which you should write much more on this subject, it may possibly not be a taboo subject but generally folks are not enough to speak on such topics. Towards the next. Cheers 878221