Dereva kortini akidaiwa kusababisha kifo cha trafiki

Philipo amesomewa shitaka hilo leo Novemba 10, 2023, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Amani Sumari, ambapo Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Monica Mweli amedai mshitakiwa alitenda kosa hilo Novemba Mosi, 2023 eneo la Nyamhongoro Wilaya ya Ilemela.
Mhina ambaye ni dereva wa gari ya Shule ya Msingi Nyamuge ya jijini Mwanza akiwa anarudisha nyuma gari hiyo yenye namba za usajili T.964 BRJ aina ya Mitsubishi Rosa, baada ya kukamatwa na kosa la usalama barabarani alimgonga Sajenti Stella na kusababisha kifo chake.
Baada ya kusomewa shtaka hilo, mshtakiwa amekana kosa na kurejeshewa rumande kutokana na kutokidhi vigezo vya dhamana, ambapo alitakiwa kuwa na wadhamini wawili na barua ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kila mmoja. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2023 itakapokuja tena kwa ajili ya mshitakiwa kusomewa maelezo ya awali ya shitaka linalomkabili.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Details Here——————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
I get paid over $87 per hour working from home with 2 kids at home. I never thought I’d be able to do it but my best friend earns over 10k a month doing this and she convinced me to try. The potential with this is endless.
.
.
.
.
Here’s what I’ve been doing…> > > http://remarkableincome09.blogspot.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com