MSANII wa muziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘ Diamond Platnumz’, ametimiza ahadi yake kwa mashabiki wa muziki baada ya kuachia wimbo mpya mapema leo Julai 4, 2023.
–
Siku za hivi karibuni msanii huyo alichapisha kwenye ukurasa wake wa Intagram kuanzia Julai mwaka huu atakuwa akiachia ngoma kali bila kituo hadi mwakani.
–
–
Diamond leo ameachia video ya wimbo mpya ujulikanao kama My Baby, aliomshirikisha msanii kutoka Nigeria, Chike Ezekpeazu Osebuka ‘Chike’.
Comments are closed.