Dk.Mwinyi aahidi kukuza vipaji vya anga
ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi za kuwaandaa vijana wengi zaidi wa Zanzibar kuwa wataalamu wa elimu ya anga.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed